Sifuna, washirika wamsukuma msajili akubali Linda Mwananchi kama chama cha kisiasa
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna na washirika wake Jumanne waliendeleza juhudi zake za kusajili Linda Mwananchi kama chama cha kisiasa watakachotumia kuwania urais mwaka 2027. Viong...