Mradi unaosuasua unavyoning’iniza matumaini ya wananchi, Kigoma
Wananchi wa Kata ya Kibirizi, eneo ambalo mradi huo unatekelezwa, wanasema licha ya kuhamishwa tangu mwaka 2015 kupisha ujenzi huo, hakuna maendeleo ya kuridhisha yaliyofanyika had...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mradi Faafu.
Fresh curated links around Mradi faafu are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Wananchi wa Kata ya Kibirizi, eneo ambalo mradi huo unatekelezwa, wanasema licha ya kuhamishwa tangu mwaka 2015 kupisha ujenzi huo, hakuna maendeleo ya kuridhisha yaliyofanyika had...
Mradi huo unalenga kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji iliyokuwa ikiwasumbua wananchi wa maeneo hayo kwa muda mrefu, hususan wanawake na watoto waliokuwa wakitembea umbali...
SEKTA ya uvuvi Pwani imepigwa jeki baada ya wavuvi kupokezwa vifaa vya teknolojia ya kisasa vitakavyowasaidia kuongeza pato lao la samaki baharini. Vifaa hivyo, ikiwemo vidubwasha...
Mradi huo unahusisha ujenzi wa tenki la kuhifadhi na kusambaza maji kwenye mnara wa urefu wa mita 12, lenye uwezo wa kuhifadhi lita 200,000 pamoja na ulazaji wa bomba kwa umbali wa...
Soma hapa...
Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2026 wakati akitembelea mradi wa Mji wa Afcon (Afcon City) unaojengwa Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Unguja. Katika kuhakikisha Zanzibar inafikia lengo la kutokomeza malaria kabisa, mradi maalumu wa matumizi ya ndege zisizo na rubani (drones) kwa ajili ya kutambua na kuangamiza ma...
Abasi Massoud Athumani (30), amefariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la maji lililopo Skuli ya Alkhamis Camp, Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bukombe, Ally Mketo, amewataka wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ushirombo kudumisha usafi wa vyoo vipya vilivyojengwa shuleni hapo ili visigeuke chanzo ch...
Zanzibar President Dr Hussein Ali Mwinyi has said the government will continue supervising the implementation of sports infrastructure projects to ensure they are completed on time...
Soma zaidi....
Wakala wa Ulinzi wa JKU na Mamlaka za Serikali za Mitaa Sh405.196 bilioni kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Mradi wa Pamoja unafadhiliwa na WB kwa kipindi cha miaka mitano (2024/29) na utagharimu Sh33 bilioni.
Afya ni msingi wa maendeleo, na huduma za upasuaji ni sehemu muhimu ya huduma hizi adhimu.
Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imeainisha vipaumbele vinne, kuimarisha uvuvi wa bahari kuu, kununua meli kubwa za uvuvi na ujenzi wa viwanda vya kuchakata samaki.
Zaidi ya viwanja 300 vilivyotolewa na Serikali kwa wananchi wa Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja, vinatarajiwa kurejeshwa serikalini ili kutafutiwa matumizi mengine baada ya...
Sekta ya utalii wa kifahari Zanzibar inayokuwa kwa kasi inatarajiwa kufikia hatua nyingine muhimu kupitia uzinduzi ujao wa NH Collection Pemba Wellness Resort, hatua inayoelezwa ku...
Serikali imeondoa hofu kwa wananchi wanaopisha utekelezaji wa mradi wa maji Manyoni mkoani Singida, ikiahidi kulipa fidia kwa mujibu wa sheria.
Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) umedai kuwa, Sh227 milioni za fidia katika Msikiti wa Rahman uliopo Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam zililipwa kwa watu wasio sah...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetaja vipaumbele vinane katika utekelezaji wa bajeti ya Sh210.3 bilioni huku utatuzi wa migogoro ukitajwa kila eneo.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.