Mkuu wa Alliance High athibitisha stoo ilichomwa usiku, ataka wazazi wakachukue watoto wao
MWALIMU mkuu wa Shule ya Upili ya Alliance amethibitisha kwamba stoo ya magodoro ilichomwa usiku wa kuamkia Alhamisi ingawa hakuna mwanafunzi yeyote aliyejeruhiwa. Katika ujumbe...