Mkakati wasukwa kuwawezesha wanafunzi kuongeza ufaulu
Ili kuinua kiwango cha elimu, imezinduliwa programu maalumu itakayowawezesha wanafunzi wa msingi na sekondari kufaulu mitihani yao ya kitaifa.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Misukosuko Idara Ya Elimu.
Fresh curated links around Misukosuko idara ya Elimu are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Ili kuinua kiwango cha elimu, imezinduliwa programu maalumu itakayowawezesha wanafunzi wa msingi na sekondari kufaulu mitihani yao ya kitaifa.
Soma zaidi hapa...
Soma zaidi hapa...
Ni mazoea ya kila asubuhi watoto wengi huamka kuelekea shuleni pasipo kufikiria changamoto zinazoweza kuwazuia kufika darasani.
Kati ya wanafunzi hao 631 ni wenye mahitaji maalumu.
Katibu wa NEC wa CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amepongeza utekelezaji wa mradi huo akisema unaonyesha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekt...
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) imezua mjadala mpana kuhusu mustakabali wa elimu duniani baada ya kubainisha kuwa karibu watoto milioni 100 wameachishwa shule moja kwa moja ku...
Katika ulimwengu wa sasa unaobadilika kwa kasi, mafanikio ya mwanafunzi hayapimwi tena kwa alama za mitihani pekee.
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, imesaini makubaliano ya ushirikiano na Shirikisho la Jumuiya ya Watu Wenye Ulemavu Norway (NAD) yenye thamani ya Sh3 bilioni kwa ajili...
Serikali imekumbushwa kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi katika utoaji wa elimu ili kufanikisha utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu ya amali na kutumia kikamilifu miundombinu...
Soma hapa...
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wameungana kutoa elimu na huduma ya upatikanaji wa viambatanisho kwa waombaji wa mikopo k...
Serikali imesema itaendelea kuwekeza katika sekta za kimkakati, hususan elimu ya sayansi, ikieleza kuwa maendeleo ya Taifa yanategemea uwepo wa wataalamu wa sayansi na teknolojia w...
Shule zilizonufaika na mpango huo ni Nguvumali, Mikanjuni, Hoteni, Kihera, Mwapachu, Tongoni, Kirare na Marungu pamoja na shule nyingine mbili za jiji hilo.
Watahiniwa waliozuiwa matokeo ni 184 wa mtihani wa kidato cha sita (ACSEE), watano wa mtihani wa Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Msingi (DPEE) na mmoja wa Mtihani wa Stashahada ya...
HUKU shule mbalimbali nchini Kenya zikikumbwa na wimbi la vurugu za wanafunzi ambazo zimesababisha kufungwa kwa muda kwa taasisi kadhaa, picha inayojitokeza inaonyesha malalamiko y...
Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi amesema zaidi ya asilimia 27 ya watoto wa kike hushindwa kwenda shule kutokana na kukosa mahitaji ya hedhi ikiwemo taulo za kike.
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limesema jumla ya watahiniwa 124,603 sawa na asilimia 99.56 wamepata ufaulu mzuri wa daraja kwanza hadi la tatu.
Soma zaidi hapa...
Serikali imewataka watafiti wa taasisi za elimu ya juu nchini kutumia fursa ya Tuzo za Umahiri wa Tafiti kuongeza ubora wa tafiti zao na kushindana katika viwango vya kimataifa, hu...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.