Uwekezaji bila bima ulivyo hatari kwa utajiri wako
Jamii imekumbushwa umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti ya kulinda utajiri sambamba na juhudi za kuujenga, ili kuhakikisha usalama wa kifedha wa muda mrefu.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Miradi Mikuu Hatarini Kuingia Hasara.
Fresh curated links around Miradi mikuu hatarini kuingia hasara are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Jamii imekumbushwa umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti ya kulinda utajiri sambamba na juhudi za kuujenga, ili kuhakikisha usalama wa kifedha wa muda mrefu.
UJENZI wa mradi wa bwawa la Mwache wa Sh20 bilioni unakabiliwa na matatizo ya kifedha ambayo yanahatarisha kukwamisha kukamilika kwa mradi huo kwa wakati uliopangwa. Bwawa hilo le...
MIRADI kadhaa mikubwa ya serikali imezimwa au kubadilishwa mwelekeo kufuatia maagizo ya mahakama na viongozi wa serikali, hali inayoweka walipa kodi katika hatari ya kupata hasara...
Tanzania hupoteza mapato ya takribani Sh182.6 bilioni kila mwaka kutokana na upotevu wa maji unaozidi kiwango kinachokubalika, hali inayoongeza mzigo kwa mamlaka za maji na kuchele...
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amefichua ukiukwaji mkubwa wa taratibu katika usimamizi wa mapato ya umma, baada ya uchunguzi wa ukaguzi kuba...
Soma zaidi hapa...
Wakati Tanzania ikiazimia kukuza uchumi wake kutoka Dola 90 bilioni za Marekani (Sh234,000 trilioni) za sasa hadi kufikia Dola 1 trilioni miaka mitano ijayo, wataalamu wa uchumi wa...
Kimesema miradi ya maendeleo ni nguzo muhimu ya ustawi wa wananchi na hivyo inahitaji ulinzi na ushirikiano wa kila mwananchi katika kuilinda dhidi ya uharibifu.
SERIKALI ya Kenya inakabiliwa na hali tata katika juhudi zake za kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (HIV) kufuatia kupunguzwa kwa ufadhili kutoka Amerika, hatua inayotishia kuf...
KUHAMISHWA kwa magunia 26, 220 ya sukari inayoshukiwa kuwa hatari kutoka bohari ya Mombasa kwenda Nairobi kupitia Reli ya Kisasa (SGR) kumeibua hofu bungeni, huku wabunge wakieleza...
Mradi huo wa muda mrefu wa miaka 20 (2026–2046), umeibua hofu kwa baadhi ya wamiliki wa viwanja katika Kata ya Sinza, huku wengine wakidai kutoshirikishwa kikamilifu katika hatua z...
Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...
Wananchi wa Kata ya Kibirizi, eneo ambalo mradi huo unatekelezwa, wanasema licha ya kuhamishwa tangu mwaka 2015 kupisha ujenzi huo, hakuna maendeleo ya kuridhisha yaliyofanyika had...
Idara ya Hali ya Hewa nchini Kenya imetoa onyo kwa wakulima kwamba mvua ya Aprili itakuwa chache sana mwanzoni mwa mwezi kabla ya kuimarika baadaye. Kulingana na idara hiyo, wak...
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja mojawapo ya changamoto zilizokwamisha bajeti ya 2025/26 isiweze kutekelezwa ni kuwepo kwa baadhi ya nchi katika Ju...
Mradi wa Pamoja unafadhiliwa na WB kwa kipindi cha miaka mitano (2024/29) na utagharimu Sh33 bilioni.
Baadhi ya wakazi wa wilaya za Kilosa na Mvomero, wameendelea kukumbwa na mafuriko, huku wengi wakilazimika kuishi katika kambi za muda.
Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) umedai kuwa, Sh227 milioni za fidia katika Msikiti wa Rahman uliopo Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam zililipwa kwa watu wasio sah...
SERIKALI za kaunti zinadai malimbikizi ya jumla ya Sh143 bilioni katika mapato ambayo hazijalipwa, hali inayofichua mapengo makubwa katika mifumo ya ukusanyaji ushuru huku zikikabi...
Serikali imeonya kuwa ukuaji wa miji usioendana na mipango bora umechangia zaidi ya asilimia 67.9 ya makazi kujengwa katika maeneo yasiyopangwa, hali inayosababisha changamoto za m...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman, amesema uchunguzi wao umebaini mali zilizoharibiwa za sekta binafsi na za umma zin...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.