Lenku, mdhibiti wa Ikulu wavutania kesi ya mwanahabari
GAVANA wa Kajiado, Joseph Ole Lenku na Mdhibiti wa Ikulu Katoo Ole Metito wanavutana kuhusu fidia ya Sh16 milioni. Viongozi hao wawili wa kisiasa wametofautiana vikali kuhusu kesi...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mdhibiti Wa Ikulu Katoo Ole Metito.
Fresh curated links around Mdhibiti wa Ikulu Katoo Ole Metito are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
GAVANA wa Kajiado, Joseph Ole Lenku na Mdhibiti wa Ikulu Katoo Ole Metito wanavutana kuhusu fidia ya Sh16 milioni. Viongozi hao wawili wa kisiasa wametofautiana vikali kuhusu kesi...
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za Serikali, hatua inayolenga kuimarisha utendaji kazi na kuongeza ufanisi katika taasisi za umma.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Kheri Abdul Mahimbali, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa).
Dk Mwigulu amesema Serikali imebaini kuwepo kwa watu wanaoendesha shughuli za makusudi za kuchochea taharuki katika jamii, huku akiwataka wananchi kuwa makini na taarifa wanazopoke...
Soma zaidi hapa...
Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
KUTOAMINIANA na hujuma vilichochea mvutano ndani ya Kitengo cha Ulinzi wa Rais hali iliyosababisha mzozo kati ya maafisa wa polisi wa ngazi za chini na wakuu wao na hatimaye kuleta...
MGOMBEA urais wa chama cha Jubilee, Fred Matiang'i, ametoa onyo kali kwa serikali akitaka kukomeshwa kwa siasa za vurugu na matumizi ya makundi ya wahuni, akisema hali hiyo inaweza...
Soma zaidi...
Rais William Ruto anatarajiwa kuzuru kaunti za Kisii na Nyamira kuanzia leo katika ziara ya siku nne inayotazamwa kama kipimo muhimu cha ushawishi wake wa kisiasa katika eneo la Gu...
JUMAPILI iliyopita katika ibada ya shukran ya katibu katika Wizara ya Vijana Fikirini Jacobs Bamba Kilifi, kisa kilichotokea katika hafla hiyo kinatakiwa kuchukuliwa kwa uzito na k...
RAIS William Ruto amefanya mabadiliko makubwa katika mkakati na kikosi chake cha wanasiasa washirika katika eneo la Mlima Kenya, hatua inayolenga kuimarisha uungwaji mkono kuelekea...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza viongozi wa Serikali kuacha utaratibu wa kusimamia miradi wakiwa ofisini badala yake, waende moja kwa moja kwenye maeneo ya utekelezaji ili...
PROFESA Kivutha Kibwana ni mmoja wa wasomi na viongozi wa kisiasa nchini ambao wamejijengea heshima katika mijadala ya katiba, haki za raia na utawala bora kwa zaidi ya miongo mita...
Mtatifikolo kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Babati kabla ya kuhamishwa kutoka Arumeru.
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amehitimisha bajeti yake kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2026/27, huku suala la bei ya mafuta likiwa si miongoni mwa mambo yaliyopata jawabu.
Amesema utaratibu wa hazina kutoa fedha kuendesha taasisi hizo umepitwa.
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kufungua na kushuhudia mkutano mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaofanyika kesho Aprili 22, 2026 katika...
Mbali na hilo, Dk Mwinyi amewasihi wananchi kudumisha umoja, mshikamano na upendo, akionya kuwa machafuko na migogoro huleta madhara makubwa ya kijamii na kiuchumi.
NAIBU wa Rais Prof Kithure Kindiki amekita kambi eneo la Mlima Kenya baada kubainika kuwa ndani ya siku 58 pekee amefanya mikutano 15. Kuanzia Machi 1, 2026 hadi Aprili 27, 2026,...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua na kuteua wakuu wa wilaya watano Zanzibar.
Soma zaidi hapa...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.