Orwoba aendelea kuhemesha chama cha UDA
ALIYEKUWA Seneta Maalum, Bi Gloria Orwoba, anaonekana kulemea chama cha United Democratic Alliance (UDA) kilichompokonya wadhifa huo. Orwoba ameshinda msururu wa kesi dhidi ya c...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mbunge Maalum Wa Uda Teresia Mwangi.
Fresh curated links around Mbunge maalum wa UDA Teresia Mwangi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
ALIYEKUWA Seneta Maalum, Bi Gloria Orwoba, anaonekana kulemea chama cha United Democratic Alliance (UDA) kilichompokonya wadhifa huo. Orwoba ameshinda msururu wa kesi dhidi ya c...
HATUA ya chama cha Jubilee kusimamisha mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou unaotarajiwa Julai imeonekana kutikisa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP),...
MWANIAJI wa UDA David Kipsang Keter ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa eneobunge la Emurua Dikirr baada ya Tume ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kukamilisha zoezi la kuthibitisha na kuhe...
GAVANA Irungu Kang’ata wa Murang’a ameibuka tena kama mmoja wa viongozi wanaotikisa siasa za Mlima Kenya, baada ya kutangaza kuwa hatawania tena ugavana kwa tiketi ya UDA mwaka 202...
UAMUZI wa Rais William Ruto na Seneta Oburu Oginga wa Siaya kuteua Gavana wa Homa Bay, Gladys Wanga, na mwenzake wa Embu, Cecily Mbarire, kuongoza mazungumzo kati ya Orange Democra...
WAGOMBEAJI wanaosaka kuungwa na wapigakura 44,447 katika uchaguzi mdogo wa eneobunge la Emurua Dikirr, Kaunti ya Narok, wamesalia na leo pekee kufanya kampeni. Uchaguzi huo mdogo...
CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimebadilisha tarehe ya mchujo wa kuteua mgombea wa kiti cha ubunge wa Ol Kalou kutoka Jumamosi Mei 9 hadi Ijumaa Mei 8, hatua iliyowalaz...
He was the 2022 UDA aspirant for Ol Kalou constituency before defecting to Gachagua's camp after his impeachment in 2024.
MWANIAJI wa kiti cha ubunge cha Emurua Dikirr kwa tikiti ya UDA David Kipsang Koech amechukua uongozi wa mapema kura zikiendelea kuthibitishwa na kuhesabiwa na IEBC. Kufikia 1.1...
MBUNGE wa Bumula, Jack Wamboka ameondolewa rasmi katika Kamati yenye ushawishi mkubwa ya Uwekezaji wa Umma (PIC) mwezi mmoja baada ya kusimamishwa kama mwenyekiti wake kufuatia mad...
The incident happened on Friday afternoon, with the vehicle of the lawmaker badly mangled on both ends, disrupting traffic on the highway.
JUHUDI za mirengo ya kisiasa kutaka kunasa kura zaidi ya milioni 1.9 za Pwani, zimeshika kasi huku viongozi wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) wakiandaa mikutano ya kuwa...
MBUNGE wa Likoni, Mishi Mboko ameomba Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kuingilia kati na kukomesha ukatili dhidi ya wanawake katika Kaunti ya Mombasa. Bi Mboko alia...
Soma hapa...
SIASA za ngome ambazo zimekuwa zikizua utata ODM sasa zimehamia upinzani huku mirengo miwili ikilaumiana kuhusu uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Hata kabla ya Spika wa Bunge la Kitai...
The revelation came hours after the Murang'a governor announced that he would not be seeking reelection as governor under the president's party.
CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimemulikwa baada ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nancy Gathungu kubaini kuwa hakikukata wala kuwasilisha makato ya kishe...
Serikali ya Amerika imempiga marufuku afisa mmoja mkuu wa polisi wa Tanzania na watu wengine w kutokana na madai ya kuwazuilia kinyume cha sheria, kuwatesa na kuwafanyia unyanyas...
MBUNGE wa Homa Bay Town, Peter Kaluma, alijitwika nyapara wa boma isiyo yake kwa wito wake wa kutaka Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, aondolewe mara moja katika wadhifa wake akasah...
Mshindi katika mchujo wa DCP Sammy Ngotho alijipatia kura 12,957 ikilinganishwa na mshindi wa UDA Samuel Muchina aliyepata kura 3,221.
WATU wanne walijeruhiwa baada ya wafuasi wa Chama cha United Democratic Alliance (UDA) na Democracy for Citizens Party (DCP) kuvurugana katika uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr uliof...
Karis and his team have been challenging the contested election, with UDA seeking to keep hold of the seat.
BAADHI ya viongozi kutoka Kaunti ya Meru waliohusika katika kumbandua gavana wa zamani Kawira Mwangaza mamlakani, sasa wanasaka kuridhiana naye kuelekea uchaguzi huo. Viongozi hao...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.