Nani atatemwa? Rais kulazimika kufuta mawaziri kadhaa wa kiume ili kuteua wa kike
RAIS William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu cha kisiasa baada ya Mahakama Kuu kutoa uamuzi kuwa Baraza lake la Mawaziri halikidhi matakwa ya Katiba kwa sababu halijatimiza sher...