Bei ya mahindi yaanza kupanda baada ya mavuno duni Bonde la Ufa
BEI ya mahindi imepanda kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Ufa kutokana na mavuno duni yaliyosababishwa na mvua isiyotabirika. Hali hii inazua hofu ya ongezeko zaidi la...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Mavuno Duni Ya Mahindi Uasin Gishu.
Fresh curated links around Mavuno duni ya mahindi Uasin Gishu are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
BEI ya mahindi imepanda kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Ufa kutokana na mavuno duni yaliyosababishwa na mvua isiyotabirika. Hali hii inazua hofu ya ongezeko zaidi la...
WIZARA ya Kilimo imeanza uchunguzi wa kina wa hali ya mashamba ya mahindi katika eneo la North Rift huku hofu ikiongezeka kuwa mavuno ya mwaka huu huenda yakapungua kwa kiwango kik...
ALIPOMTEMBELEA rafiki yake katika shamba la Matuiku, kilomita chache kutoka mji wa Elburgon mnamo 2020, Benson Muchai hakujua kwamba mazungumzo kati yao yangebadilisha kilimo chake...
KENYA inapanga kuagiza magunia milioni 25 ya mahindi ili kuziba pengo la nafaka hiyo lililosababishwa na ukame unaoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini yanayotegemew...
Soma zaidi...
WAKULIMA wameshauriwa kutumia wiki tatu zijazo kukamilisha uvunaji, ukaushaji mazao yao na kuandaa mashamba yao kabla ya kuanza kwa msimu wa mvua ya El Nino. Ushauri huo umetolewa...
KENYA inakabiliwa na hatari ya upungufu mkubwa wa chakula huku wakulima katika maeneo yanayolisha taifa wakisita kupanda tena zao hilo baada ya ukame kuangamiza mazao ya awali....
WAKENYA wanakabiliwa na uhaba wa maziwa katika maeneo mbalimbali nchini huku uzalishaji ukipungua na bei kupanda. Takwimu rasmi ya Shirika la Takwimu la Kenya (KNBS) inaonyesha ku...
SERIKALI inapanga mikakati ya kuwasaidia wakulima kukabiliana na athari za ukame huku kipindi kirefu cha kukosekana kwa mvua kikitishia uzalishaji wa mahindi katika baadhi ya maene...
BEI ya maziwa imepanda katika baadhi ya maeneo ya Nyanza na Kusini mwa Bonde Ufa, hali inayoathiri familia na wafanyabiashara wa bidhaa mbalimbali hasa vyakula. Katika Kaunti ya H...
MABADILIKO ya tabianchi, ukame wa muda mrefu na mvua zisizotabirika vinaendelea kuathiri uzalishaji wa mazao nchini Kenya, hali inayowasukuma watengenezaji wa chakula cha mifugo ku...
MAMIA ya wakulima wa mahindi katika Bonde la Ufa wanakabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni baada ya ukame, uhaba wa mbolea na mashambulizi ya viwavi jeshi kuharibu mazao yao. Hii i...
KILIMO cha usahihi [Precision Agriculture kwa Kimombo] kinaendelea kupata nguvu barani Afrika huku teknolojia zake za utekelezaji zikinuia kuwasaidia wakulima wadogo kuongeza kiwan...
KIWANGO cha njaa duniani kimepungua kwa mwaka wa tatu mfululizo, lakini dunia bado i mbali kuwahi lengo la kutokomeza njaa ifikapo 2030, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) imefic...
Hali hiyo imeongeza gharama za maisha na kupunguza uwezo wa wananchi kununua bidhaa hiyo muhimu.
SERIKALI imepunguza zaidi bei ya mbolea na mbegu za mahindi katika juhudi za kuwasaidia wakulima wa Bonde la Ufa waliopata hasara kutokana na ukame. Bei ya mfuko wa kilo 50 wa mbo...
ARI ya Dkt Truphena Choti, Mkenya anayeishi Amerika, ya kulima mboga za kienyeji za Kiafrika imepigwa jeki baada ya mradi wake kupata ufadhili wa Sh103 milioni. Fedha hizo zitatum...
Soma zaidi hapa...
HUKU kiangazi na ukame ukiendelea kuathiri wakulima hasa maeneo kame na nusu-kame (ASAL), teknolojia ya uongezaji malisho thamani kurefusha muda imegeuka kuwa tegemeo kwa wafugaji....
AFRIKA inapaswa kuendelea kuwekeza katika ubunifu wa kilimo na kuharakisha matumizi ya teknolojia zilizothibitishwa ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa chakula, kupunguza uagiza...
Balozi wa Pamba Tanzania, Agrey Mwanri amewataka wakulima kuachana na utaratibu wa kurusha mbegu ovyo mashambani na badala yake kuzingatia kanuni za kilimo bora ili kuongeza uzalis...
AFRIKA haina upungufu wa teknolojia za kilimo zinazoweza kusaidia wakulima kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Kuanzia mbegu za mahindi zinazostahimili ukame, nga...
MURAYA Mburu alipoacha kufanya kazi katika Kampuni ya Huduma za Maji na Usafi ya Nakuru (NAWASSCO) mwaka 2012 alijitosa katika kilimo shambani mwake Nyakiambi mjini Elburgon, Kaunt...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.