Shahidi afichua mazishi ya kinyama Kwa Binzaro, ya miili kuachwa kuliwa na wanyama porini
KESI ya mhubiri Paul Mackenzie na Sharleen Temba Anindo ya uhalifu dhidi ya binadamu kuhusu vifo Kwa Bi Nzaro imeanza Mombasa, ikiashiria hatua ya kihistoria katika mfumo wa haki n...