Obado, aliyekiri kuwa katika mapenzi na Sharon, kujua iwapo ana hatia ya mauaji yake
KWA karibu miaka minane sasa, mauaji ya Sharon Otieno na mwanawe yameendelea kuitikisa siasa na mfumo wa haki nchini Kenya. Kifo cha Sharon, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha...