‘Bwana Spika Sir’ ashtakiwa kwa uvamizi wa Bunge 2024 na uharibifu wa mali ya Sh41m
MWANAHARAKTI Ezekiel Kyama Nzyoki aliyefaulu kuingia katika jengo la Bunge huku akimuiga Spika wa Bunge la Kitaifa Juni 25, 2024 akisema “Bwana Spika Sir”, ameshtakiwa hatimaye baa...