SMZ kutumia Sh1 trilioni kuimarisha huduma za afya mwaka 2026/30
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Matumizi Ya Fedha Za Umma.
Fresh curated links around Matumizi ya fedha za umma are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Amesema maeneo yenye usimamizi wa moja kwa moja wa fedha na rasilimali za umma ndiyo yanapaswa kupewa kipaumbele zaidi katika ufuatiliaji wa maadili na uwajibikaji.
Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...
Waziri Shaaban amesema katika mwaka wa fedha 2026/27 ili kutekeleza vipaumbele hivyo, ameliomba baraza la wawakilishi kuidhinisha Sh19 bilioni.
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeomba kuhidhinishiwa Sh1.8 trilioni kutekeleza vipaumbele vinane kwa mwaka 2026/27, vikiwemo kuanzisha kampuni ya ndege ya Zanzibar pamoja na kuanza...
Soma hapa...
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
Katika bajeti hiyo, Serikali imeonesha maeneo ya kimkakati na jinsi ambavyo bajeti hiyo inapunguza utegemezi, badala yake kuongeza mipango ya kukusanya kodi za ndani.
Soma zaidi hapa...
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
SERIKALI inapanga kukopa zaidi ya Sh1 trilioni kufadhili bajeti ya mwaka wa kifedha ujao ya Sh4.8 trilioni, huku pengo la bajeti likikadiriwa kufikia takriban Sh1.1 trilioni, Wazir...
Soma zaidi hapa...
Wizara ya Maji, Nishati na Madini imepanga kutekeleza bajeti yake ya Sh475.39 bilioni kwa kuzingatia vipaumbele vinane vikiwamo kuimarisha mtandao wa maji, uzalishaji wa umeme na k...
Serikali ya Tanzania imetangaza utekelezaji wa kubana matumizi katika magari hautahusisha yaliyopo sasa badala yake unaandaliwa mpango wa kutonunua magari ya kifahari.
Kupitia mradi huo, Serikali pia inawekeza katika miradi ya kuongeza thamani ya mazao na mifugo, ikiwemo ujenzi wa viwanda vidogo vya kuchakata mafuta ya alizeti na kusindika maziwa...
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimewasilisha bajeti zao za Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 huku baadhi zikiweka nguvu kwenye mapato ya ndani kwa kutumia ra...
Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imeainisha vipaumbele tisa kwa mwaka wa fedha 2026/27 ikiwa ni pamoja na kuimarisha upatikanaji na usambazaji wa habari.
KAUNTI tisa nchini zimetumia chini ya asilimia 20 ya bajeti zao za maendeleo katika miezi tisa ya kwanza ya mwaka wa kifedha wa 2025/2026, huku nyingi zikielekeza sehemu kubwa ya f...
Bajeti ya Serikali iliyopitishwa leo Juni 18, 2026 na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ni Sh8 trilioni huku deni la Taifa likifikia Sh3 trilioni.
Pamoja na mwenendo wa hali ya uchumi na teknolojia ya mifumo ya kielektroniki katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa mapato, Wizara ya Fedha na Mipango imej...
RC James amesema Serikali imeendelea kuwekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, lakini bado baadhi ya miradi imekuwa ikikabiliwa na changamoto za ucheleweshaj...
Wizara ya Fedha imeweka wazi vipaumbele vinane vitakavyoongoza utekelezaji wa majukumu yake pamoja na taasisi zilizo chini yake, huku ikiomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh21.3 trilion...
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, imepokea Sh700 milioni kwa ajili ya kuviwezesha kiuchumi vikundi 30 vya wananchi ili kupisha shughuli za kijamii kwenye maeneo ya hif...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.