Latest updates for Matumizi Ya Fedha Za Umma
Fresh curated links around Matumizi ya fedha za umma are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Matumizi binafsi kimbilio la mikopo
- Mashirika ya usalama yalipewa Sh44.6 bilioni Julai, ongezeko kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa
- Makonda: Elimu ya fedha itajenga jamii imara
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mashirika ya usalama yalipewa Sh44.6 bilioni Julai, ongezeko kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa
WIZARA ya Fedha ilitengea mashirika ya usalama jumla ya Sh44.6 bilioni mwezi Julai, hatua inayodhihirisha ufadhili mkubwa wa sekta hiyo katika mwaka wa mwisho wa serikali kabla ya...
Makonda: Elimu ya fedha itajenga jamii imara
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema elimu ya fedha kwa wananchi inasaidia kujenga jamii yenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya kifedha na kuchoche...
Mdhibiti bajeti alivyokataa maombi ya Mbadi ya kutoa Sh72 bilioni
MIPANGO ya Wizara ya Fedha katika mwaka wa kifedha uliomalizika Juni 2026 ilikumbwa na kizingiti kikubwa, baada ya Mdhibiti wa Bajeti, Margaret Nyakang’o, kuzuia matumizi ya Sh72 b...
Wabunge wa Mbeya wampokea Waziri wa Fedha kwa kilio cha vumbi
Serikali iliahidi ujenzi wa barabara ya njia ya nne kutoka Nsalaga hadi Ifisi yenye kilomita 32 ikigharimu Sh138 bilioni ambapo ilipaswa kukamilika Aprili 2025 na kwa sasa umesimam...
Miswada iliyopitishwa na Bunge namna ilivyowagusa wananchi
Soma hapa...
Dar yapeleka Sh1.95 bilioni kukamilisha shule, kituo cha polisi
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imepeleka Sh1.95 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo inayolenga kuboresha sekta za elimu na usalama, ikiwamo kukamilisha ujenzi...
Sh750 milioni zajenga nyumba za watumishi wa Takukuru Momba
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeanza kujenga nyumba za kisasa za makazi ya watumishi wake kwa mara ya kwanza nchini, huku nyumba sita zenye thamani ya Sh750...
Miaka 10 ya kusubiri mradi, wananchi wabebeshwa zigo la gharama - 1
Soma zaidi...
Jeshi la Uganda latoa Sh52 milioni kuimarisha usalama kituo cha SOS Zanzibar
Soma zaidi hapa...
FYATU MFYATUZI: Naunda tume tatu kuchunguza tume
Soma zaidi hapa...
Takukuru yabaini dosari utekelezaji miradi ya maendeleo Tanga
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Tanga imebaini dosari mbalimbali katika usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hali inayohatarisha matumizi sa...
Wabunge: Ukopaji wa kufanyia sherehe unaumiza wakopaji
Muswada huo, pamoja na mambo mengine, unalenga kuongeza sekta ya ukopaji wa fedha kutoka asilimia 22 hadi 50 ifikapo mwaka 2030.
Vitambulisho vya Nida milioni 1.5 vyatelekezwa, Serikali yatoa kauli
Soma hapa...
Wadau wataka marufuku ya kuwapa watoto fedha mitaani
Pendekezo hilo ni miongoni mwa maazimio 10 yaliyowasilishwa kwa Serikali leo Jumamosi Septemba 5, 2026, wakati wa matembezi na mbio za hisani za Mtoto Run Fun zilizofanyika katika...
Ujenzi barabara njia ya nne Mbeya wafikia asilimia 44.8
Ujenzi wa mradi wa barabara ya njia nne kutoka Nsalaga hadi Songwe mkoani Mbeya umefikia asilimia 44.8, baada ya Serikali kutoa fedha na kumwezesha mkandarasi kurejea eneo la mradi...
Walimu wakuu kuhojiwa bungeni kuhusu fedha shuleni
WALIMU wakuu wa shule za upili za umma nchini wataanza kufikishwa mbele ya Bunge la Kitaifa kueleza jinsi walivyotumia mabilioni ya fedha za umma, katika hatua mpya ya kuimarisha u...
Maafisa wa kaunti watumia mfumo wa malipo kupora mamilioni ya pesa za umma
KAUNTI nyingi nchini zimegeuza mfumo wa malipo ya dharura maarufu kuwa njia mpya ya kupora pesa za umma kupitia madai ya matumizi yasiyo na msingi, ripoti mpya za Mkaguzi Mkuu wa H...
Othman: Utumishi wa umma haupaswi kuongozwa kwa hisia, utashi binafsi
Soma hapa...
SMZ yabadilisha mbinu ufuatiliaji huduma za afya kuimarisha uwajibikaji
Soma hapa...
Vitu vinavyoifanya Dar kupoteza Sh7.2 bilioni kwa siku
Soma hapa...
Tira kuboresha huduma kidijitali
Serikali imeanza kutumia mifumo ya kidijitali kuboresha usimamizi wa sekta ya bima, ikiwamo kushughulikia malalamiko ya wateja na kudhibiti udanganyifu unaofanywa na baadhi ya watu...
Shirika la Bandari latoa gawio la Sh3.6 bilioni kwa Serikali
Ofisi ya Msajili wa Hazina imepokea gawio la Sh3.6 bilioni kutoka Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC), ikiwa ni sehemu ya mchango wa shirika hilo katika kuongeza mapato ya Serikali n...
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.