Hawa ndio wanawake wa Kitanga, hawana limbwata
Soma zaidi...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Masuala Ya Wanawake.
Fresh curated links around Masuala ya wanawake are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma zaidi...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wanawake nchini kuwaeleza na kuwashirikisha wenza wao kuhusu shughuli za kiuchumi wanazozifanya ili kuepusha migogoro inayoweza kujit...
JUMA hili tunaangazia taasubi za kiume kwa kurejelea dondoo lifuatalo: “Nyinyi mna maswali mengi. Si mngoje kwanza nimalize kusimulia halafu mniulize maswali?” (a) Eleza muktadha...
MBUNGE wa Likoni, Mishi Mboko ameomba Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kuingilia kati na kukomesha ukatili dhidi ya wanawake katika Kaunti ya Mombasa. Bi Mboko alia...
Soma zaidi hapa...
Swali la mwanaume anatakiwa kufanya tendo la ndoa mara ngapi kwa wiki limekuwa likijadiliwa kwa muda mrefu, huku wengi wakilitafsiri kama kipimo cha “nguvu za kiume”.
Fikiria hali hii: mke anapata mshahara mkubwa kuliko mume. Je, hiyo ni baraka kwa familia au mwanzo wa migogoro?
LEO tutaangazia baadhi ya maswali likiwemo suala la malezi kwa kurejelea dondoo lifuatalo. “Wazazi waliasa, ‘Nguo ya kuomba haisitiri makalio.’ Alifunzwa kutotumia sifa za kike a...
Licha ya wanawake kuchangia karibu asilimia 40 ya nguvu kazi ya kilimo duniani na kuwa na mchango mkubwa nchini Tanzania, bado wanakabiliwa na changamoto za kimfumo, zikiwemo umili...
BIASHARA za wanawake ndizo zimekuwa zikinufaikia nafasi za utoaji zabuni za serikali, hii ni kwa mujibu wa takwimu kutoka Mamlaka ya Kudhibiti Utoaji Zabuni katika Sekta ya Umma (...
Mkataba wa ndoa ni miongoni mwa mikataba ambayo Uislamu umeipa umuhimu mkubwa, umeitukuza na kuilinda, kwa upekee wake na umuhimu wake; kwani unahusiana na heshima za watu, nasaba...
Soma zaidi hapa...
MWAKA wa 2014, Mary* alikuwa akitafuta kazi miaka mitatu baada ya kuhitimu shahada ya Mawasiliano na Uanahabari katika Chuo Kikuu cha Egerton. Wakati huo, alikuwa akifanya kazi...
Takribani Watanzania 60,000 hupata maambukizi mapya ya Ukimwi kila mwaka, huku chanzo kikitajwa kuwa ni ukosefu wa elimu sahihi ya afya ya uzazi.
Wanawake 150 kutoka jamii za wafugaji wilayani Simanjiro na Kiteto mkoani Manyara wamekabidhiwa hati za kimila za umiliki wa ardhi, hatua inayolenga kuwawezesha kiuchumi na kupungu...
Soma zaidi...
Soma hapa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia wanawake wanne kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi zenye uzito wa kilo 129.
Soma hapa....
UMEWAHI kukutana na mvulana mdogo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 10 akiomba ununue pipi au ndizi barabarani wakati wanafunzi wengine wako shuleni? Je, umewahi kujiuliza kwa n...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.