Wizara ya Afya kutunza takwimu wagonjwa wa saratani Mbeya
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa saratani katika Hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH).
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mamlaka Ya Afya Y....
Fresh curated links around Mamlaka ya Afya y... are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa saratani katika Hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH).
Mazungumzo hayo yalifungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa afya kati ya nchi hizo mbili, huku Tanzania ikiweka wazi dhamira yake ya kujenga mfumo imara zaidi wa afya unaojitegemea n...
Waziri huyo amesema waganga wakuu wa mikoa na halmashauri watakaoshindwa kusimamia upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya watachukuliwa hatua kali za kinidhamu, ikiwa ni pamoja...
Serikali na wadau wa sekta ya afya wamesisitiza umuhimu wa kuongeza uwekezaji, ubunifu na ushirikiano katika kuharakisha mapambano dhidi ya malaria, huku changamoto za usugu wa daw...
Afya ni msingi wa maendeleo, na huduma za upasuaji ni sehemu muhimu ya huduma hizi adhimu.
Soma hapa...
Soma zaidi...
Soma zaidi hapa...
Baraza la Famasi ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya, yenye jukumu la kusajili wataalamu wa famasi, kusimamia maadili yao pamoja na kuhakikisha wanatoa huduma kwa...
Tanzania imeendelea kujijengea nafasi kama moja ya nchi zinazoongoza mageuzi ya kidijitali katika sekta ya afya barani Afrika, baada ya kuunganisha mifumo na kupanua huduma za tib...
Kauli ya gharama za kumuona daktari kwa wagonjwa, imewaibua madaktari na kueleza kinachoendelea huku wakionya siasa zisiingizwe kwenye afya za watu.
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ametangaza mkakati mpya wa Serikali wa kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa uandishi na utoaji wa dawa (e-Prescription), hatua inayolenga kukabil...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuchukua hatua mathubuti kufanya mageuzi makubwa ya sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuongeza bajeti ya dawa, ili kuondoa...
Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba Tanzania (TMDA) imetoa msaada wa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh16.9 milioni kwenye Gereza Kuu la Isanga lililopo jijini Dodoma.
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali haitarudi nyuma katika mpango wa ujenzi wa viwanda vya dawa nchini, akisisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wote wata...
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Seif Shekalaghe kuchunguza na kukagua kitengo cha wagonjwa wa ndani upande wa wodi za wanaume katika Ho...
Soma zaidi hapa...
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya S.M.A namba moja, baada ya kubainika kuwa yamechafuliwa na kemikali ya Cereulide inayotok...
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Wabunge wametaja moja ya changamoto katika kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kuwa ni Watanzania kutokuwa na utamaduni wa kupima afya zao.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.