Kaunti za North Rift zalemewa na madeni – Ripoti
MAGAVANA kutoka kanda ya kaskazini mwa Bonde la Ufa wanakabiliwa na shinikizo la kulipa madeni ya mamilioni ya pesa huku ripoti za ukaguzi wa fedha zikionyesha jinsi fedha zilizote...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Malimbikizo Ya Madeni.
Fresh curated links around Malimbikizo ya madeni are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
MAGAVANA kutoka kanda ya kaskazini mwa Bonde la Ufa wanakabiliwa na shinikizo la kulipa madeni ya mamilioni ya pesa huku ripoti za ukaguzi wa fedha zikionyesha jinsi fedha zilizote...
Soma zaidi hapa...
SERIKALI inapanga kukopa zaidi ya Sh1 trilioni kufadhili bajeti ya mwaka wa kifedha ujao ya Sh4.8 trilioni, huku pengo la bajeti likikadiriwa kufikia takriban Sh1.1 trilioni, Wazir...
Soma hapa...
Changamoto ya mikopo na madeni imeibuka kuwa moja ya vichocheo vikubwa vya msongo wa mawazo na matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wafanyakazi, utafiti mpya umebaini.
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
MWANASHERIA mkuu na Waziri wa Fedha, John Mbadi wameitaka Mahakama Kuu kusimamisha kusikizwa kwa kesi muhimu inayohusu uhalali wa deni la umma la Sh7 trilioni inayosubiri rufaa....
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema mfumo wa benki wa kuuza dhamana za wakopaji bila kuangalia kiasi cha deni lililobaki, kinaumiza watu na akataka utaratibu utazam...
HOSPITALI nchini kote zinang’ang’ana na mzigo wa malimbikizi ya madeni ambayo hayajalipwa yanayofikia takriban Sh27 bilioni, hali inayofichua nyufa kwenye mpango wa serikali wa Mam...
Mstaafu wetu anajikuta akifanya kile kinachomshangaza hata yeye mwenyewe, cha kujikuta akikishukuru kibubu cha wastaafu kwa kufanya kilichofanywa na maofisa wake wahusika kuona mwe...
Mahakama Kuu ilikuwa imetupilia mbali shauri lake kwa gharama, baada ya kubaini kuwa alilipwa kikamilifu fidia ya ardhi yenye ukubwa wa mita za mraba 1,632.
Serikali imeanza kuandaa sheria maalumu itakayoruhusu matumizi ya mali zinazohamishika, ikiwemo vyeti vya taaluma kama dhamana ya kupata mikopo kwa lengo la kuwasaidia wahitimu wa...
Soma zaidi hapa...
Wafanyabiashara Seleman Said na Betha Laurence wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 16, yakiwemo ya kughushi nyaraka, kuwasilisha nyaraka za...
Hadi kufikia Aprili mwaka huu, Serikali ilishalipa deni la Serikali la Sh9.74 trilioni ambalo ni asilimia 68.5 ya malengo yaliyotarajiwa kwa kipindi hicho.
Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) umedai kuwa, Sh227 milioni za fidia katika Msikiti wa Rahman uliopo Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam zililipwa kwa watu wasio sah...
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameeleza masikitiko yao kuhusu mwenendo wa Serikali wa kuendelea kutoa misamaha mingi ya kodi, wakati ikipanga bajeti kwa kutegemea mapato ya ndan...
Mfanyabiashara Emmanuel Simkamba (40) na Mary Simkamba (60) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu shtaka moja la kujipatia Sh55 milioni kwa njia ya udanganyifu...
Mnyika amedai kuendelea kuzishikilia fedha hizo ni kinyume cha sheria, kwani hapo awali Ofisi ya Msajili ilikuwa ikieleza kulikuwa na zuio la mahakama, lakini zuio hilo liliondolew...
Soma hapa...
Soma hapa...
Utaratibu wa sasa unamtoza kodi mfanyabiashara pale tu atakapofungua biashara na kupata namba ya utambulisho wa mlipakodi.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.