Makosa katika ukanushaji wa sentensi zenye vitenzi ‘-ja’, ‘-la’, ‘-fa’ na ‘-nywa’
KUKANUSHA ni kukataa, kukana, kutokubali au kupinga jambo fulani. Ili mwanafunzi akanushe sentensi kwa usahihi anafaa kuelewa hali na nyakati mbalimbali. Iwapo kukanusha viambish...