Bweni la wavulana sekondari ya Kalangalala lanusurika kuteketea
Moto huo ulibainika baada ya wanafunzi kuona moshi ukitoka katika bweni hilo linalokaliwa na wanafunzi 96.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Majanga Ya Moto Shuleni.
Fresh curated links around Majanga ya moto shuleni are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Moto huo ulibainika baada ya wanafunzi kuona moshi ukitoka katika bweni hilo linalokaliwa na wanafunzi 96.
VIFO vya wanafunzi 16 kufuatia moto ulioteketeza bweni la shule ya wasichana ya Utumishi Girls Academy jana alfajiri, vimeibua upya wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya usalama shuleni n...
MASWALI yanaendelea kuzuka kuhusu chanzo cha moto ulioteketeza bweni la Shule ya Wasichana ya Sekondari ya Utumishi iliyoko Kaunti ya Nakuru huku visa kama hivyo vikiendelea kutoke...
Maelezo yameibuka kuhusu jinsi moto mbaya ulioteketeza bweni katika shule ya Utumishi Girls Senior Secondary School huko Gilgil, Kaunti ya Nakuru, ulivyoripotiwa kwa mara ya kwanza...
TAIFA la Kenya kwa mara nyingine linaomboleza baada ya mkasa wa kutisha wa moto katika Shule ya Upili ya Utumishi Girls Academy, Gilgil, Nakuru kuua wanafunzi 16 huku wengine wapat...
WIMBI la vurugu limekumba shule kadhaa nchini na kuacha nyuma uharibifu wa mali, kufungwa kwa baadhi ya taasisi, majeruhi na vifo katika visa vya kusikitisha vinavyozidi kuzua hofu...
WANAFUNZI 16 wamethibitishwa kufariki katika mkasa wa moto uliotokea katika shule ya Utumishi Girls iliyoko Gilgil, Kaunti ya Nakuru. Ripoti ya polisi inasema kwamba moto huo ul...
WANAFUNZI 10 wa Shule ya Upili ya Alliance, Kikuyu, wamekamatwa kuhusiana na moto ulioteketeza stoo ya kuhifadhi godoro Jumatano usiku, huku uchunguzi wa awali ukionyesha kuwa huen...
AFISA mmoja anayehusika na uchunguzi wa moto uliotokea katika shule ya wasichana ya Utumishi mjini Gilgil, amesema wasichana sita wanahojiwa kuhusiana na mkasa huo. Kwa mujibu wa...
MOTO uliosababisha vifo vya wanafunzi 16 katika shule ya Utumishi Girls Senior School, Gilgil na wengine 79 kujeruhiwa, ulipangwa na kutekelezwa kimakusudi, uchunguzi wa awali wa I...
Akizungumza katika eneo la tukio, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hadi kufikia saa sita usiku hakukuwa na taarifa ya madhara ya vifo wala majeruhi.
POLISI mjini Nyeri wamewakamata wanafunzi wanne wasichana Shule ya upili ya St Paul’s Githakwa wanaoshukiwa kuchoma bweni la shule usiku wa kumkia Jumanne. Wanafunzi hao, watatu...
Kwa mujibu wa mashuhuda, moto huo ulizuka majira ya saa 5:20 asubuhi leo Ijumaa, Julai 10, 2026, wakati gari la mteja lilipokuwa likijazwa mafuta.
SERIKALI Ijumaa Mei 29, 2026 ilisema walimu wawili wa Shule ya Sekondari ya Utumishi Girls Senior School walikuwa na taarifa za mapema kuhusu uwezekano wa fujo lakini hawakuchukua...
MWALIMU mkuu wa Shule ya Upili ya Alliance amethibitisha kwamba stoo ya magodoro ilichomwa usiku wa kuamkia Alhamisi ingawa hakuna mwanafunzi yeyote aliyejeruhiwa. Katika ujumbe...
MAHAKAMA ya Naivasha imeamuru wanafunzi tisa wa Shule ya Wasichana ya Utumishi Senior School wanaoshukiwa kuhusika na uchomaji wa bweni uliosababisha vifo vya wanafunzi 16 wazuiliw...
MACHOZI, majonzi na hali ya kukata tamaa vilitawala ibada ya kuwaaga wanafunzi 15 waliopoteza maisha yao kufuatia moto ulioteketeza bweni la Shule ya Upili ya Utumishi Girls Academ...
Soma zaidi...
Nyamagana Member of Parliament John Nzilanyingi said the incident highlighted the urgent need for continued investment in modern firefighting equipment, noting that the situation c...
Soma zaidi...
Mbali na kifungo hicho, mahakama imeamuru kifaa hicho chenye thamani ya Sh120,000, kirudishwe kwa mmiliki wake.
Soma hapa...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.