Mkosi wa timu za Afrika kubanduliwa dakika za jioni — ukiondolea mbali dai la ‘uchezeshaji duni’
MSISIMKO mkubwa ulitanda barani Afrika wakati timu tisa kati ya 10 zilitinga hatua ya maondoano ya Kombe la Dunia mwaka huu. Tunisia ilikuwa timu pekee ambayo haikusonga mbele, ik...