Latest updates for Mwanasheria Mkuu Na Waziri Wa Fedha
Fresh curated links around MWANASHERIA mkuu na Waziri wa Fedha are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Sheria ya fedha inavyong'ata
- Waziri Mkuu ashtukia kuuzwa dhamana za wakopaji
- Wizara ya Fedha yaja na vipaumbele vinane ikionya kuwepo na vihatarishi
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Waziri Mkuu ashtukia kuuzwa dhamana za wakopaji
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema mfumo wa benki wa kuuza dhamana za wakopaji bila kuangalia kiasi cha deni lililobaki, kinaumiza watu na akataka utaratibu utazam...
Wizara ya Fedha yaja na vipaumbele vinane ikionya kuwepo na vihatarishi
Wizara ya Fedha imeweka wazi vipaumbele vinane vitakavyoongoza utekelezaji wa majukumu yake pamoja na taasisi zilizo chini yake, huku ikiomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh21.3 trilion...
Dk Mwinyi: Mjadala kuongeza muda wa uongozi hauna tija
Amesema utaratibu wa hazina kutoa fedha kuendesha taasisi hizo umepitwa.
Mawaziri walivyojibu hoja za wabunge Bajeti Kuu
Soma zaidi hapa...
Dk Mwigulu ataka sekta binafsi iheshimiwe
Dk Mwigulu amesema hata uchumi wa mataifa yaliyoendelea nguzo yake ya muhimu ni sekta binafsi.
Mwigulu ashtukia upigaji fedha Manyoni, awataka watendaji kuzitapika
Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...
Wizara yazindua nyenzo za bajeti inayozingatia usawa wa kijinsia
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik amesema bajeti ndiyo nyenzo kuu inayotumiwa na Serikali kutekeleza sera na mipango ya maendeleo.
Zanzibar kuanzisha soko la hisa
Pamoja na mwenendo wa hali ya uchumi na teknolojia ya mifumo ya kielektroniki katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa mapato, Wizara ya Fedha na Mipango imej...
Serikali kuboresha mfumo wa uwajibikaji kwa watumishi wa umma
Amesema maeneo yenye usimamizi wa moja kwa moja wa fedha na rasilimali za umma ndiyo yanapaswa kupewa kipaumbele zaidi katika ufuatiliaji wa maadili na uwajibikaji.
Pendekezo la Serikali kukopa BoT lachochea mjadala
Soma zaidi hapa...
Sheria aliyoikosoa Ndugai kufumuliwa, Waziri Mkuu asema...
Soma hapa...
How the Tanzanian Finance Minister's Meeting With the IMF Could Unlock Investment, Fiscal Stability and Sustainable Grow...
[Daily News] THE meeting between Tanzania's Minister for Finance, Ambassador Khamis Mussa Omar (MP), and Mr Zeine Zeidane, the newly appointed Executive Director of the IMF's Afric...
Mfanyabiashara mtegoni, asipolipa Sh50 milioni kutupwa gerezani
Soma hapa...
Changamoto ilizopitia Wizara ya Fedha, yataja mikakati kuzikabili
Serikali imesema kuwa, licha ya mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa vipaumbele kwa Wizara ya Fedha katika bajeti ya 2025/26, zipo changamoto zilizojitokeza pia.
Mbadi amulikwa kuhusu uhamishaji wa asasi za kitaifa
WAZIRI wa Fedha John Mbadi, amemulikwa baada ya wabunge kumuagiza kufika mbele yao kufafanua uhamisho wenye utata wa taasisi za kitaifa zilizo chini ya Wizara ya Kawi kwa Hazina mp...
Sekta binafsi, wasafishaji wataja maeneo muhimu bajeti 2026/27
Soma hapa...
Dk Mwinyi: Tunachukua hatua kudhibiti athari bei ya nishati
Mbali na hilo, Dk Mwinyi amewasihi wananchi kudumisha umoja, mshikamano na upendo, akionya kuwa machafuko na migogoro huleta madhara makubwa ya kijamii na kiuchumi.
Nsekela atunukiwa Shahada ya Uzamivu, ataja umuhimu wa utawala bora kwenye benki
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Abdulmajid Nsekela ametunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Kusini (UNISA), hatua inayotajwa kuimarisha mchango wa...
Waziri Mkuu aonya wanaotumika kuhujumu utulivu wa nchi
Dk Mwigulu amesema Serikali imebaini kuwepo kwa watu wanaoendesha shughuli za makusudi za kuchochea taharuki katika jamii, huku akiwataka wananchi kuwa makini na taarifa wanazopoke...
Dk Mwigulu aeleza Serikali inavyopambania soko la nje mazao ya biashara
Amesema jitihada zinaendelea kuhakikisha bei zisizidi kushuka zaidi ya viwango hadi wakulima wakafilisika.
Mambo ya Nje waanika vipaumbele wakiomba Sh359 bilioni
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.
Mchengerwa atoa mwongozo utoshelevu wa dawa, chanjo, vifaa tiba
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amewataka watafiti na wadau wa sekta ya afya nchini kuweka mikakati madhubuti itakayoiwezesha Tanzania kujitosheleza kwa dawa, chanjo na vifaa ti...
Wadau waichambua bajeti kuu wakionesha mbivu, mbichi
Katika bajeti hiyo, Serikali imeonesha maeneo ya kimkakati na jinsi ambavyo bajeti hiyo inapunguza utegemezi, badala yake kuongeza mipango ya kukusanya kodi za ndani.
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.