Wanahabari wajeruhiwa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay
WAANDISHI wawili wa habari walijeruhiwa na biashara kusitishwa katika Mji wa Homa Bay Jumapili huku mvutano ukizuka kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi. Waandishi wa AFP Fred Ooko...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Linda Mwananchi Wavamiwa Na Wahuni Homa Bay.
Fresh curated links around Linda Mwananchi wavamiwa na wahuni Homa Bay are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
WAANDISHI wawili wa habari walijeruhiwa na biashara kusitishwa katika Mji wa Homa Bay Jumapili huku mvutano ukizuka kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi. Waandishi wa AFP Fred Ooko...
TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500...
KINARA wa vuguvugu la kisiasa la Linda Mwananchi Edwin Sifuna amesema wanayo katika hifadhi yao chombo cha mawasiliano anachosema kilipatikana kwa mwanamume mmoja aliyenaswa na waf...
Linda Mwananchi spokesperson and Suba South MP Caroli Omondi has raised fresh concerns over the Ol Kalou by-election, claiming unusual activities in the constituency point to an at...
WAFANYABIASHARA katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, wanakabiliwa na wakati mgumu baada ya biashara yao kudorora kufuatia vurugu zilizotokea wakati wa mkutano wa kisiasa wa vion...
KANISA la SDA Lake Victoria Field liligeuka kuwa eneo la vurugu Jumapili baada ya watu waliokuwa wakitoroka makabiliano ya kisiasa Homa Bay kukimbilia humo kutafuta hifadhi. Kasis...
Political tensions and clashes have escalated in Homa Bay today, Sunday, 16, as the Linda Mwananchi movement attempts to hold a highly anticipated rally in the ODM stronghold.
SERIKALI haiwezi kuruhusiwa kukaa kimya huku visa vya uhuni wa kisiasa vikiongezeka. Kwa muda mrefu serikali imekuwa ikitoa vitisho vikali visivyotekelezwa. Kila mara viongozi wa...
YANAYOTUKIA Kenya wakati huu yanawatia wasiwasi wananchi na wenye nchi kwa sababu kadhaa. Kwanza, wimbi kubwa la wahuni limechipuka mwaka mmoja kabla Kenya kuingia katika uchagu...
MBUNGE wa Nyaribari Chache, Zaheer Jhanda, amevunja kimya chake kuhusu uvamizi dhidi ya msafara wa viongozi wa Linda Mwananchi katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, zaidi ya wiki...
KWA miongo kadhaa, taswira ya mhuni wa kisiasa nchini Kenya ilikuwa ya kijana asiye na ajira, aliyevalia fulana ya chama cha kisiasa na kurushia mawe wapinzani kabla ya kutoweka kw...
KENYA inaendelea kugeuka kuwa paradiso ya wahuni wanaotumiwa kutwaa ardhi, nyumba, biashara na mali nyingine huku amri za mahakama zikipuuzwa na mamlaka zikionekana kushindwa kuwal...
VUGUVUGU la Linda Mwananchi limetishia kufanya maandamano ya kila siku nje ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa (ORPP) iwapo ombi lake la kusajiliwa kama chama cha kisiasa hali...
MAPANGA yanabadilishwa kutoka zana ya kawaida ya shambani kuwa silaha ya kutisha na kuwashambulia watu, huku ripoti ya kijasusi ikifichua kuwa angalau mapanga 500 yalisambazwa kwa...
WASHUKIWA saba waliokamatwa kutokana na shambulio la Ijumaa kwenye msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, Nyaribari Chache katika Kaunti ya Kisii walishindwa kujibu mashtaka Jumat...
MTAA wa Shauri Yako mjini Homa Bay, ambao mchana huonekana kama makazi ya kawaida yenye shughuli nyingi za biashara, umegeuka kuwa kitovu cha uhalifu usiku kutokana na magenge ya v...
BAADA ya kufanya mikutano iliyofanikiwa katika kaunti za Bungoma na Trans Nzoia wiki mbili zilizopita, viongozi wa vuguvugu la Linda Mwananchi sasa wamehamishia kampeni zao katika...
SIKU chache tu baada ya mtu mmoja kuuawa wakati wa shambulio dhidi ya msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, viongozi vijana kutoka eneo la Gusii wametangaza msafara wa amani ili...
NAIROBI Mjini KIONGOZI mmoja mwanamke anatikisa vichwa vya watu baada ya kuibuka madai kuwa ana nyumba ya siri ambako hujisitiri na vijana wa kiume. Inasemekana nyumba hiyo imek...
[Capital FM] Nairobi -- The ODM-affiliated Linda Mwananchi faction is set to return to the Mt Kenya region with another round of political rallies, this time targeting Nyandarua Co...
NAIBU Kiongozi wa Chama cha Jubilee, Dkt Fred Matiang’i, ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kutokana na uhuni wa kisiasa. Aliwataka viongozi kuacha kufadhili makundi ya wahuni...
The tensions come ahead of the planned Linda Mwananchi rally in the town on August 16, raising fears of further unrest and heightened security concerns.
MVUTANO kuhusu usajili wa chama kipya cha kisiasa cha Linda Mwananchi Party umechukua mwelekeo mpya baada ya mawakili wa Charles Wanyonyi, aliyekuwa wa kwanza kujaribu kukisajili k...
KILA kiongozi anaruhusiwa kufanya kampeni mahala popote nchini kwa sababu Kenya ni taifa huru na kila mwanasiasa ana haki ya kuendeleza ajenda yake ya kisiasa. Aliyekuwa Naibu Rai...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.