Wizara ya Fedha yatakiwa kuondoa VAT kwenye mitambo na mashine za uchakataji mazao
WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...