Yaibuka vituo vingi vya polisi ni skwota, havina hati miliki
HUDMA ya Kitaifa ya Polisi (NPS) inakabiliwa na hatari kubwa ya kupoteza hadi vituo 44 vya polisi jijini Nairobi kutokana na ukosefu wa hati miliki za ardhi, hali inayozua wasiwasi...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Kituo Cha Polisi Isiolo.
Fresh curated links around Kituo cha Polisi Isiolo are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
HUDMA ya Kitaifa ya Polisi (NPS) inakabiliwa na hatari kubwa ya kupoteza hadi vituo 44 vya polisi jijini Nairobi kutokana na ukosefu wa hati miliki za ardhi, hali inayozua wasiwasi...
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea, jambo ambalo amesema limekuwa likisababisha jamii kupata bughudha na usumbufu bila saba...
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amesema vituo vya afya vya polisi vitaendelea kuboreshwa katika eneo la miundombinu, vifaa tiba na kuwekeza katika rasilimali w...
Soma zaidi...
SAFARI ya kilomita 45 ya Dishan Angoya kutoka Thika Aprili 30, 2026 ilionekana kuwa kilele cha juhudi zake za kazi alipoteuliwa kusimamia moja ya vituo vikubwa na vyenye shughuli n...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeimarisha doria katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, ikiwemo barabarani, visiwani na katika maeneo ya mikusanyiko ya watu, ili kuhakikisha wananc...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara limewakamata watu 19 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo ulawiti na kujihusisha na dawa za kulevya, kutokana na operesheni, doria na misako iliyofanyika...
BW Samuel Wanyoike alikuwa tu ameajiriwa na Huduma ya Polisi wa Utawala mnamo Julai 2007 na kutumwa Garbatulla, Kaunti ya Isiolo. Mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ya ulinzi ili...
Soma hapa...
Soma hapa...
Shinyanga. Katika oparesheni ya Machi, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanikiwa kukamata watuhumiwa 35 wa wizi wa vifaa vya SGR katika Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watuhumiwa 69 wanaohusishwa na makosa mbalimbali baada ya kufanya operesheni maalumu katika maeneo tofauti ya mkoa huo.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 209 katika operesheni na misako mbalimbali iliyolenga kuimarisha usalama wa raia na mali kati ya Aprili 1 had...
NOAH Simiyu alikuwa akitoka kazini Februari 17 akielekea nyumbani kwa kutumia pikipiki yake alipokutana na wanaume wawili na mwanamke mmoja waliomwashiria asimame katika eneo la Da...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia wanawake wanne kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi zenye uzito wa kilo 129.
WIZARA ya Usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa imeanzisha mpango wa Sh20 bilioni wa kupanua Kituo cha Kitaifa cha Ulinzi na Udhibiti wa Usalama (IC4), pamoja na mageuzi mengine y...
Jeshi la Polisi jijini Mwanza linawashikilia watu 61 kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi na biashara ya dawa za kulevya, kukiuka masharti ya leseni za biashara, pamoja na kupatik...
MAMLAKA Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA) imelemewa na mrundiko wa kesi 3,600 ambazo hazijashughulikiwa kutokana na ukosefu wa fedha za kutosha. Kesi nyingi zilizokw...
Hatimaye mpenzi wa mhamasishaji wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani, Ashly Robinson, maarufu Ashlee Jenae, Joe McCann anahojiwa na polisi visiwani Zanzibar.
TAHARUKI imetanda katika eneo la Tseikuru, Kaunti ya Kitui baada ya wachungaji wa ngamia kuwaua watu saba. Kamanda wa Polisi wa Tseikuru, Mecha Mogeni alithibitisha uvamizi huo...
Zaidi ya manusura 100 wa vitendo vya ukatili wa kijinsia wamepokewa na kuhudumiwa katika Kituo cha Mkono kwa Mkono (One Stop Center) kilichopo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyama...
The new unit, to be established at the police headquarters, will perform very specific functions under the National Police Service.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema baadhi ya taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kukamatwa kwa Pauline Pallangyo zimekuwa za kupotosha umma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa 53 wanaodaiwa kujihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu, kufuatia operesheni maalumu iliyoanza Aprili 1, 2026.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.