Zanzibar kununua meli mbili za uvuvi bahari kuu
Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imeainisha vipaumbele vinne, kuimarisha uvuvi wa bahari kuu, kununua meli kubwa za uvuvi na ujenzi wa viwanda vya kuchakata samaki.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Kitengo Cha Usimamizi Wa Ufukwe (Bmu.
Fresh curated links around Kitengo cha Usimamizi wa Ufukwe (BMU are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imeainisha vipaumbele vinne, kuimarisha uvuvi wa bahari kuu, kununua meli kubwa za uvuvi na ujenzi wa viwanda vya kuchakata samaki.
Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imekuja na vipaumbele 11 ikilenga kuimarisha vivutio vya utalii, kuvihifadhi na kuyaendeleza maeneo ya kihistoria Unguja na Pemba.
“Hatua hii inaakisi maono na mabadiliko ya kimkakati katika udhibiti na usimamizi wa rasilimali za bahari kuu.''
Baada ya Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) kutangaza nauli mpya zitakazoanza kutumika Jumatatu, wananchi kisiwani hapa wameelezea masikitiko yao huku wakiiomba Serikali ku...
Soma zaidi hapa...
Serikali imezindua rasmi mafunzo ya siku tano kwa maofisa uvuvi na wakaguzi wa mazao ya uvuvi wapatao 25 kutoka ukanda wa Bahari ya Hindi, katika juhudi za kuimarisha sekta ya uvuv...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imeweka kipaumbele katika kuimarisha na kuhifadhi maeneo ya kihistoria kwa kuzingatia umuhimu wake katika uchumi na uhifadhi wa utamaduni...
Wakala wa Ulinzi wa JKU na Mamlaka za Serikali za Mitaa Sh405.196 bilioni kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Wakati bei mpya za tiketi za boti zilizotangazwa na Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) zikianza kutumia leo, wananchi wameendelea kuiangukia Serikali kuwapunguzia gharama h...
Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imewasisitiza wafanyabiashara kutumia mfumo maalumu wa Usimamizi wa Mali (PMS) ili k...
Kimesema miradi ya maendeleo ni nguzo muhimu ya ustawi wa wananchi na hivyo inahitaji ulinzi na ushirikiano wa kila mwananchi katika kuilinda dhidi ya uharibifu.
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeomba kuhidhinishiwa Sh1.8 trilioni kutekeleza vipaumbele vinane kwa mwaka 2026/27, vikiwemo kuanzisha kampuni ya ndege ya Zanzibar pamoja na kuanza...
Pwani. Bagamoyo Mwenge wa Uhuru 2026 leo Jumamosi Aprili 18, 2026 umekabidhiwa rasmi kutoka Mkoa wa Dar es Salaam kwenda Mkoa wa Pwani katika hafla iliyofanyika Bagamoyo, huku vion...
Wakati Serikali ikiendelea kusukuma mbele ajenda ya uchumi wa bluu kama nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi nchini Tanzania na Zanzibar, uelewa kwa jamii za pembezoni mwa bahari bado...
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikijiandaa kuanza shughuli za ukusanyaji wa takwimu za mafuta na gesi asilia kwa teknolojia ya 3D seismic survey, wananchi wa maeneo...
Hemed amesema hali hiyo inaonesha kuwa uchumi wa buluu hauishii kwenye shughuli za uvuvi na usafirishaji wa baharini pekee, bali pia ni eneo la ubunifu, teknolojia na ujasiriamali
The survey will cover a 66-square-kilometre area around Paje, Bwejuu, Mtule and Jozani in South District, South Unguja Region.
Barabara nyingi ndani ya jiji hilo zikiwemo ile ya Mandela, zimekuwa kero kwa watumiaji hasa nyakati za asubuhi na jioni huku sababu kutokana na foleni kubwa inayotajwa kusababishw...
Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imegeuka mbogo baada ya kupata taarifa kuwa kuna mabasi ya mwendo wa haraka ‘mwendokasi...
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Wakati Tanzania na Uganda zikiingia makubaliano (MoU) kushirikiana katika sekta ya utalii, wadau wa sekta hiyo nchini wameomba kuboreshwa kwa miundombinu ili kuwezesha maeneo ya ut...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.