Madai yafichuka ya hujuma, mvutano katika kikosi cha kulinda Rais
KUTOAMINIANA na hujuma vilichochea mvutano ndani ya Kitengo cha Ulinzi wa Rais hali iliyosababisha mzozo kati ya maafisa wa polisi wa ngazi za chini na wakuu wao na hatimaye kuleta...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Kitengo Cha Ulinzi Wa Rais.
Fresh curated links around Kitengo cha Ulinzi wa Rais are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
KUTOAMINIANA na hujuma vilichochea mvutano ndani ya Kitengo cha Ulinzi wa Rais hali iliyosababisha mzozo kati ya maafisa wa polisi wa ngazi za chini na wakuu wao na hatimaye kuleta...
USALAMA jana uliimarishwa katika mikutano ya Rais William Ruto eneo la Pwani, siku moja baada ya kijana kumfikia jukwaani bila kuzuiwa na walinzi wake. Tukio hilo lilifanya Naibu...
JUMAPILI iliyopita katika ibada ya shukran ya katibu katika Wizara ya Vijana Fikirini Jacobs Bamba Kilifi, kisa kilichotokea katika hafla hiyo kinatakiwa kuchukuliwa kwa uzito na k...
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea, jambo ambalo amesema limekuwa likisababisha jamii kupata bughudha na usumbufu bila saba...
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Magereza kuzingatia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai katika maeneo ambayo bado hayajaguswa kikamilifu.
Ziara hizo zinakuja wakati mataifa ya Afrika Mashariki yakiongeza juhudi za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, kukuza biashara ya kikanda na kuendeleza mshikamano kupitia sera ya...
WIZARA ya Ulinzi na Huduma ya Kitaifa kuhusu Ujasusi (NIS) zitapokea jumla ya Sh310 bilioni kwenye bajeti ya 2026, kiasi ambacho ni cha pili kikubwa zaidi baada ya Tume ya Huduma k...
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za Serikali, hatua inayolenga kuimarisha utendaji kazi na kuongeza ufanisi katika taasisi za umma.
USALAMA wa Rais William Ruto kwa mara nyingine umemulikwa baada ya mwanamume kumvamia jukwaani akihutubu Ganze, Kaunti ya Kilifi. Rais alikuwa akihutubu katika ibada ya shukrani...
Soma zaidi hapa...
Soma zaidi...
Chama cha Sekta ya Ulinzi Tanzania (TSIA) kimelaani matumizi ya mabaunsa kwa shughuli za ulinzi, pamoja na kufanya fujo na kusababisha madhara kwa watu na mali zao.
Soma zaidi...
WIZARA ya Usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa imeanzisha mpango wa Sh20 bilioni wa kupanua Kituo cha Kitaifa cha Ulinzi na Udhibiti wa Usalama (IC4), pamoja na mageuzi mengine y...
Soma hapa...
Kimesema miradi ya maendeleo ni nguzo muhimu ya ustawi wa wananchi na hivyo inahitaji ulinzi na ushirikiano wa kila mwananchi katika kuilinda dhidi ya uharibifu.
Soma hapa...
Fedha kiduchu zinazotengwa na kutolewa kwa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Taasisi zake zimeibua mjadala kwa wawakilishi wakiitaka Serikali kuangalia upya mipango yake kwani t...
Wakala wa Ulinzi wa JKU na Mamlaka za Serikali za Mitaa Sh405.196 bilioni kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amesema vituo vya afya vya polisi vitaendelea kuboreshwa katika eneo la miundombinu, vifaa tiba na kuwekeza katika rasilimali w...
Dk Mwigulu amesema Serikali imebaini kuwepo kwa watu wanaoendesha shughuli za makusudi za kuchochea taharuki katika jamii, huku akiwataka wananchi kuwa makini na taarifa wanazopoke...
Marekani imetangaza mashtaka ya mauaji dhidi ya Rais wa zamani wa Cuba, Raúl Castro, hatua inayotajwa kuwa ni mwendelezo wa kampeni kali ya Marekani dhidi ya serikali ya kikomunist...
Soma hapa...
Rais wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuonekana kwenye pasipoti mpya maalumu zitakazotolewa kuadhimisha miaka 250 tangu kupatikana kwa uhuru wa taifa hilo.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.