Mkosoaji mkuu wa serikali Afrika Kusini Julius Malema atupwa jela kwa kumiliki bunduki
KUGOMPO CITY, AFRIKA KUSINI: MWANASIASA wa upinzani Afrika Kusini Julius Malema jana alifungwa miaka mitano gerezani kwa kumiliki bunduki kinyume cha sheria na kufytua risasi hadh...