Latest updates for Kilimo Endelevu

Fresh curated links around Kilimo endelevu are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Walikwepa madhila ya ndoa na kuingilia kilimo
  • Kanuni zinazokwamisha ubunifu wa kilimo Afrika
  • Fedha za kilimo zinufaishe wakulima wa mashamba madogo

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /5 days ago

Walikwepa madhila ya ndoa na kuingilia kilimo

KATIKA eneo kame la Kinna, Kaunti ya Isiolo, ambako ukame na mabadiliko ya tabianchi yamefanya kilimo na ufugaji kuwa changamoto kubwa, kundi la wakulima limegundua kuwa kilimo end...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kanuni zinazokwamisha ubunifu wa kilimo Afrika

AFRIKA haina upungufu wa teknolojia za kilimo zinazoweza kusaidia wakulima kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Kuanzia mbegu za mahindi zinazostahimili ukame, nga...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Fedha za kilimo zinufaishe wakulima wa mashamba madogo

MASHIRIKA ya kifedha yamehimizwa kubuni upya huduma za ufadhili wa kilimo ili ziambatane na hali halisi ya wakulima, vijana, wanawake wajasiriamali na masoko ya chakula badala ya k...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Teknolojia nafuu ziwafikie wakulima

WABUNIFU wa teknolojia za kilimo na mabadiliko ya tabianchi wamehimizwa kuibuka na bunifu faafu, rahisi kutumia na endelevu zinazokidhi mahitaji ya wakulima wa mashamba madogo....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Afrika yatakiwa kuwekeza zaidi kwenye ubunifu wa kilimo

AFRIKA inapaswa kuendelea kuwekeza katika ubunifu wa kilimo na kuharakisha matumizi ya teknolojia zilizothibitishwa ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa chakula, kupunguza uagiza...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Himizo kilimo cha kuhifadhi afya ya udongo na nishati ya jua kuunganishwa ili kupunguza gharama

MABADILIKO ya tabianchi yanaendelea kubadilisha kwa kasi mifumo ya kilimo nchini Kenya, huku misimu ya mvua na ukame ambayo wakulima walitegemea ikizidi kuwa isiyotabirika. Uka...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wadau: Simu janja ni ‘trekta’ mpya kwenye kilimo

Wadau wa kilimo wametaja simu janja kuwa nyenzo muhimu ya kuifanya sekta ya kilimo kuinua uchumi wa mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Mashine hii mahuluti inafanya shughuli kibao shambani kuwa rahisi

KILIMO cha usahihi [Precision Agriculture kwa Kimombo] kinaendelea kupata nguvu barani Afrika huku teknolojia zake za utekelezaji zikinuia kuwasaidia wakulima wadogo kuongeza kiwan...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Mfumo wa kidijitali kufungua masoko ya mikunde

Wakulima wa mazao ya jamii ya mikunde nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa kidijitali utakaowaunganisha na wanunuzi, wafanyabiashara na wadau wa sekta hiyo, huku ukiwawez...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wakulima wahimizwa kukumbatia nafaka zinazostahimili ukame

MABADILIKO ya tabianchi yameendelea kuathiri uzalishaji wa chakula nchini Kenya kutokana na mvua isiyotabirika, ukame wa mara kwa mara na ongezeko la joto. Hali hii imepunguza...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Ileje kuja na mkakati ujenzi masoko ya kisasa kuimarisha kilimo

Serikali ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe imepanga kuja na mkakati wa ujenzi wa masoko ya kisasa ya mazao pamoja na kuimarisha mfumo wa ushirika, lengo likiwa ni kuongeza thamani y...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Mkenya apokea Sh103m Amerika kukuza ‘managu’

ARI ya Dkt Truphena Choti, Mkenya anayeishi Amerika, ya kulima mboga za kienyeji za Kiafrika imepigwa jeki baada ya mradi wake kupata ufadhili wa Sh103 milioni. Fedha hizo zitatum...

Read source
mwananchi.co.tz /6 days ago

NIKWAMBIE MAMA: Mkulima na mfugaji ni gego na ufizi, havitengani

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Kagwe asema nchi haitalemewa na njaa licha ya mabadiliko ya tabianchi

SERIKALI inapanga mikakati ya kuwasaidia wakulima kukabiliana na athari za ukame huku kipindi kirefu cha kukosekana kwa mvua kikitishia uzalishaji wa mahindi katika baadhi ya maene...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Chakula maalum kuokoa mifugo wakati wa kiangazi

HUKU kiangazi na ukame ukiendelea kuathiri wakulima hasa maeneo kame na nusu-kame (ASAL), teknolojia ya uongezaji malisho thamani kurefusha muda imegeuka kuwa tegemeo kwa wafugaji....

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

NBC kuendelea kuwezesha wanawake, vijana katika kilimo

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeahidi kutekeleza mpango wa Serikali wa kuwawezesha wanawake na vijana katika mnyororo wa thamani wa kilimo, ikisema tayari imeanza kutoa huduma...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Kilimo kinavyoibadili Mbeya kielimu

Muonekano wa Shule ya Sekondari ya Wasichana (Cocoa Girls) iliyopo wilayani Kyela mkoani Mbeya iliyojengwa kupitia tozo za zao la Cocoa.

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Kibano ufungaji holela ving’ora, vimulimuli

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Vijiji vinne kunufaika na mradi wa kurejesha ikolojia Muheza

Mradi huo unatekelezwa kwa ufadhili wa Foundation OCP, taasisi ya Morocco iliyojikita katika kuendeleza maendeleo endelevu ya binadamu nchini humo na katika nchi nyingine za Ukanda...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Hivi hapa vikwazo wanawake kushindwa kushiriki kilimo

Licha ya mwamko unaopatikana kwa wanawake kushiriki katika kilimo, ukosefu wa ardhi, nyenzo, teknolojia na masoko ni miongoni mwa vikwazo vimetajwa kuwarejesha nyuma kushiriki kili...

Read source
allafrica.com /2 weeks ago

Modern Agriculture Key to Food Security, Says Kabudi

[Daily News] Morogoro -- FOR decades, the fertile stretches from Lumuma through Kidete to Mkata have held immense agricultural promise.

Read source
mwananchi.co.tz /6 days ago

UCHAMBUZI WA MAYALA: Elimu, ujuzi, ubunifu ndiyo msingi wa maendeleo

Soma zaidi hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Profesa Kitila atoa msimamo wa Serikali uwekezaji wa mashamba Siha

Ziara hiyo ni sehemu ya juhudi za Serikali kutathimini namna rasilimali hizo zinavyoweza kutumika kwa tija na kuleta manufaa kwa Taifa na wananchi.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

AI yatarajiwa kubadili kilimo COMESA ikihamasisha huduma za nyanjani za kidijitali kwa wakulima

AKILI Mnemba (AI) inazidi kujitokeza kama teknolojia itakayobadilisha sekta ya kilimo barani Afrika huku Soko la Pamoja la Eneo la Mashariki na Kusini mwa Afrika (COMESA) likiendes...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Kilimo Endelevu

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source