Stroberi za ‘chandler’ ni tamu pia kwa upande wa hela
MURAYA Mburu alipoacha kufanya kazi katika Kampuni ya Huduma za Maji na Usafi ya Nakuru (NAWASSCO) mwaka 2012 alijitosa katika kilimo shambani mwake Nyakiambi mjini Elburgon, Kaunt...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Kilimo Cha Stroberi.
Fresh curated links around Kilimo cha stroberi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
MURAYA Mburu alipoacha kufanya kazi katika Kampuni ya Huduma za Maji na Usafi ya Nakuru (NAWASSCO) mwaka 2012 alijitosa katika kilimo shambani mwake Nyakiambi mjini Elburgon, Kaunt...
KILIMO cha maparachichi kimekuwa miongoni mwa biashara zenye faida kubwa nchini Kenya kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matunda hayo katika masoko ya ndani na nje ya nchi....
Serikali imeanza utekelezaji wa mkakati wa kuifanya Wilaya ya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji wa shayiri nchini kwa kusambaza zaidi ya tani 10 za mbegu bora kwa wakulima kwa ruzuk...
UNAPOZURU shamba lake, utakaribishwa na mseto wa mimea na mazao japo kinachojitokeza zaidi ni kilimo cha matunda yanayostahili kiangazi na ukame. Pitaya, maarufu kwa Kiingereza...
Wakulima 200 wa mwani kutoka Shehia za Uzi na Muungoni, Mkoa wa Kusini Unguja, wamekabidhiwa vifaa muhimu vya kilimo, ikiwa ni juhudi za kuongeza uzalishaji, kuboresha ubora wa zao...
Balozi wa Pamba Tanzania, Agrey Mwanri amewataka wakulima kuachana na utaratibu wa kurusha mbegu ovyo mashambani na badala yake kuzingatia kanuni za kilimo bora ili kuongeza uzalis...
Wakulima wa mazao ya jamii ya mikunde nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa kidijitali utakaowaunganisha na wanunuzi, wafanyabiashara na wadau wa sekta hiyo, huku ukiwawez...
Wadau wa kilimo wametaja simu janja kuwa nyenzo muhimu ya kuifanya sekta ya kilimo kuinua uchumi wa mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.
[Daily News] Zanzibar -- THE strephit Project (Strengthening Plant Health Services in Tanzania for enhanced food safety) plays a critical role in improving agricultural productivit...
Wakazi wa kisiwani wamelalamikia uhaba wa sukari, huku kiasi kidogo kinachopatikana kikidaiwa kuuzwa kwa kificho kwa Sh5,000 kwa kilo.
KILIMO cha usahihi [Precision Agriculture kwa Kimombo] kinaendelea kupata nguvu barani Afrika huku teknolojia zake za utekelezaji zikinuia kuwasaidia wakulima wadogo kuongeza kiwan...
Zimbabwe’s blueberry industry is poised for its biggest export season yet, with one of the country’s leading producers forecasting a sharp increase in overseas sales as global dema...
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutekeleza mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo na mifugo, hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa kuagiza mazao na bidhaa za mifu...
ZIMBABWE’S horticultural industry is positioning itself for major export growth, with blueberry producer Wiserow (Pvt) Ltd forecasting future output of 2,500 tonnes as the country...
Serikali ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe imepanga kuja na mkakati wa ujenzi wa masoko ya kisasa ya mazao pamoja na kuimarisha mfumo wa ushirika, lengo likiwa ni kuongeza thamani y...
Soma hapa...
Hali hiyo imeongeza gharama za maisha na kupunguza uwezo wa wananchi kununua bidhaa hiyo muhimu.
WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...
Muonekano wa Shule ya Sekondari ya Wasichana (Cocoa Girls) iliyopo wilayani Kyela mkoani Mbeya iliyojengwa kupitia tozo za zao la Cocoa.
WABUNIFU wa teknolojia za kilimo na mabadiliko ya tabianchi wamehimizwa kuibuka na bunifu faafu, rahisi kutumia na endelevu zinazokidhi mahitaji ya wakulima wa mashamba madogo....
AFRIKA inapaswa kuendelea kuwekeza katika ubunifu wa kilimo na kuharakisha matumizi ya teknolojia zilizothibitishwa ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa chakula, kupunguza uagiza...
ARI ya Dkt Truphena Choti, Mkenya anayeishi Amerika, ya kulima mboga za kienyeji za Kiafrika imepigwa jeki baada ya mradi wake kupata ufadhili wa Sh103 milioni. Fedha hizo zitatum...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.