Sifuna: Mimi si mradi wa kigogo yeyote, tunachangisha pesa za mikutano kupitia Mpesa
KATIBU Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna, amekanusha madai kwamba anafadhiliwa kisiasa na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta ili kudhoofisha utawala wa Rais William Ruto huku uchaguzi mkuu wa mwa...