Karua abandikwa jina ‘mgeni asiyetakikana’ na serikali ya Uganda, afurushwa
KIONGOZI wa chama cha PLP, Bi Martha Karua jana alisema kuwa Uganda imerejelea uongozi wa kidikteta kama enzi za Rais Idi Amin Dada baada ya kuzuiliwa katika uwanja wa ndege wa Ent...