Nisaidieni kunasua ndugu zangu dhehebu la babangu, mwanawe Mackenzie alilia korti
MWANA wa mshukiwa wa mauaji ya Shakahola Paul Mackenzie, ameambia mahakama yuko tayari kutoa ushuhuda kuhusu dhehebu lililoongozwa na babake, akieleza masikitiko kwamba ushawishi w...