Kang’ata kupiga teke UDA kwatikisa ngome, baadhi wakimkosoa kutema chombo kilichomfaidi
GAVANA Irungu Kang’ata wa Murang’a ameibuka tena kama mmoja wa viongozi wanaotikisa siasa za Mlima Kenya, baada ya kutangaza kuwa hatawania tena ugavana kwa tiketi ya UDA mwaka 202...