Latest updates for Kang'ata Atema Uda

Fresh curated links around Kang'ata atema UDA are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Kang’ata atetea uamuzi wa kuingia vuguvugu la Linda Mwananchi
  • Wandani wa Ruto Mlimani waweka presha Hassan Omar atimuliwe
  • Serikali yatumia miradi kuvutia UDA kura Ol Kalou

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kang’ata atetea uamuzi wa kuingia vuguvugu la Linda Mwananchi

KUONEKANA kwa Gavana wa Murang’a, Dkt Irungu Kang’ata, katika mkutano wa umma wa vuguvugu la Linda Mwananchi mjini Thika siku ya Jumapili kumefanya aanze kumulikwa kisiasa. Eneo l...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wandani wa Ruto Mlimani waweka presha Hassan Omar atimuliwe

SHINIKIZO zinaendelea kuongezeka kwa Katibu Mkuu wa chama cha United Democratic Alliance (UDA), Hassan Omar, kufuatia matamshi yake yanayodaiwa kuchochea chuki za kikabila, huku vi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Serikali yatumia miradi kuvutia UDA kura Ol Kalou

CHAMA cha UDA kinachoongozwa na Rais William Ruto kinafanya juu chini kuhakikisha kinashinda uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou ikiwemo kutumia miradi kuwavutia wapigakura....

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

“They Sing UDA at Night”: Cherargei Reveals UDA’s Secret Weapon in Mt. Kenya

Nandi Senator Samson Cherargei has laid bare plans by the ruling United Democratic Alliance (UDA) to infiltrate the opposition-linked Democracy for Citizens Party (DCP) ahead of th...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Aladwa ataka ODM iachiwe kiti cha ugavana Nairobi 2027

MBUNGE wa Makadara George Aladwa sasa anataka UDA iachie ODM kiti cha ugavana wa Nairobi akitaka suala hilo lijumuishwe kwenye muafaka kati ya vyama hivyo viwili kuelekea uchaguzi...

Read source
kenyans.co.ke /1 week ago

UDA Responds to Claims It Disowned MP Over Alleged Gachagua Links

The claims arose after an unverified post alleged that the former Deputy President had welcomed the legislator into his faction.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /8 hours ago

Leo ni leo Ol Kalou uchaguzi ukitarajiwa kutambulisha ‘mwenye Mlima’ kati ya Ruto na Rigathi

MATOKEO ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou leo yatatoa mwelekeo wa kisiasa katika eneo lenye idadi kubwa ya wapigakura la Mlima Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Ni kat...

Read source
nairobiwire.com /3 weeks ago

Governor Kang’ata Opens Up on Linda Mwananchi and His Political Future

Murang’a Governor Irungu Kang’ata confirmed he is part of Linda Mwananchi, saying he joined the movement to help build a platform that brings together Kenyans from different politi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Onetam! Keter ajiunga na Linda Mwananchi ngome ya Ruto ikichemka

ALIYEKUWA Mbunge wa Nandi Hills, Alfred Keter, ameinuka tena kisiasa baada ya kipindi kirefu cha ukimya, akilenga kuvuruga ushawishi wa chama cha UDA kinachoongozwa na Rais William...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 days ago

Gikaria matatani kwa madai ya kutoa hongo Ol Kalou akipigia debe mwaniaji wa UDA

MBUNGE wa Embakasi Mashariki David Gikaria alipewa hadi saa saba unusu kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Nidhamu ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini (IEBC) baada ya kukosa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Isaac Ruto asema ana imani atashinda mchujo wa UDA kwa ugavana Bomet

ALIYEKUWA Gavana wa Bomet, Isaac Ruto, ametangaza kuwa ana imani atashinda uteuzi wa UDA na kurejelea kiti chake katika uchaguzi mkuu 2027. Bw Ruto alisema kuwa uchaguzi wa mashin...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Gachagua apinga madai kuwa anampigia debe Kalonzo kupambana na Ruto 2027

KIONGOZI wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amesema muungano wa upinzani hautamtangaza atakayepeperusha bendera ya urais 2027 mapema kwa hofu kwamba atalengwa na serikali na kutes...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Kampeni zachacha Ol Kalou zikibaki siku 10 kura zipigwe

HUKU zikisalia siku kumi pekee kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, ushindani huo umegeuka kuwa kipimo cha nguvu za kisiasa katika eneo la Mlima Kenya kuelekea Uchaguzi M...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Omtatah na Wamalwa wapigania ubabe katika Bunge la Kaunti ya Busia

SENETA Okiya Omtatah na kiongozi wa chama cha DAP-Kenya, Eugene Wamalwa, wamejikuta katika mgogoro wa kisheria kuhusu udhibiti wa uongozi wa upande wa wachache katika Bunge la Kaun...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Viongozi wamtetea Katibu wa UDA Omar

VIONGOZI mbalimbali wa kisiasa na kijamii wamejitokeza kumtetea Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, kufuatia wito wa baadhi ya watu kutaka ajiuzulu kutoka wadhifa wake. Akizungumza...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

OneTam: Ndoana ya Sifuna yanasa Maraga 2027 ikikaribia

ALIYEKUWA Jaji Mkuu David Maraga ameongeza nguvu mpya kambi ya Linda Mwananchi baada ya kuungana na viongozi wake katika juhudi za kuimarisha umoja wa upinzani kuelekea uchaguzi mk...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

Seneta lawamani kwa kusahau ‘waliomsaidia’

BAADHI ya wajumbe wa Chama cha ODM akiwemo Katibu wa ODM Voi, Bw Hassan Mwaniki, wamemlaumu Seneta Jonnes Mwaruma wakidai amewatenga licha ya kumsaidia uchaguzini, akilenga kuwania...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Viongozi waungana Pwani kuvumisha Tutam

MAWAZIRI wa Michezo na Vijana, Bw Salim Mvurya, mwenzake wa Madini, Bw Hassan Joho, pamoja na Spika wa Seneti, Bw Amason Kingi, wamewahimiza wakazi wa pwani kumuunga mkono Rais Wil...

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

UDA MPs Give SG Hassan Omar 48 Hours to Resign

The UDA Secretary General is facing mounting pressure from fellow party members, who now want him to resign within 48 hours.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jamii ya Mulembe nao wasema watadai kiti cha Unaibu Rais kuelekea kura 2027

VIONGOZI kutoka Magharibi mwa Kenya sasa wanamtaka Rais William Ruto amchukue Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi au Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula kama mgombea-mwenza...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Wetangúla akemewa kwa kumwidhinisha Nakhumicha kuwania ugavana Trans Nzoia

HATUA ya Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangúla, kumuidhinisha Waziri wa zamani, Susan Nakhumicha, kuwania ugavana Trans Nzoia kumechemsha viongozi wa vyama tanzu ndani ya Kenya...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kaunti ya Wantam? Ushindani mkali wengi wakijitokeza kuwania ugavana Taita Taveta

USHINDANI mkali wanukia katika Kaunti ya Taita Taveta huku idadi ya wanaotaka kuwania ugavana ikiongezeka. Gavana wa kaunti hiyo, Bw Andrew Mwadime, na naibu wake Bi Christine Kil...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 day ago

ODM na UDA zapoteza ngome wanasiasa wakijipanga kwa 2027

HATUA ya baadhi ya vyama kujipanga kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 imeanza kubadili mwelekeo wa vyama hivyo huku utafiti mpya ukionyesha kuwa umaarufu wa chama cha UDA na ms...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Hatuna haja na maandamano Nairobi, mbunge wa ODM asema

MWENYEKITI  wa ODM Kaunti ya Nairobi na Mbunge wa Makadara, George Aladwa, Jumatano alitangaza kuwa wafuasi wa chama hicho hawatashiriki katika maandamano ya Gen Z mnamo Alhamisi....

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Kang'ata Atema Uda

nairobiwire.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

kenyans.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source