Matunda ya ubinafsishaji wa kampuni ya sukari ya Nzoia Sugar yaanza kuonekana
NI mwamko mpya kwa wakulima wa miwa katika Kaunti ya Bungoma, baada ya kampuni ya kutengeneza sukari ya Nzoia kuripoti kuwa imelipa wakuzaji zaidi ya Sh700 milioni tangu irejelee s...