KPLC yakanusha madai ya kuhamishia transfoma Mbeere North kwa sababu ya kisiasa
KAMPUNI ya stima Kenya (KPLC) imekanusha madai kuwa iliondoa transfoma 15 kutoka maeneo mbalimbali katika eneo bunge la Mbeere North, Kaunti ya Embu, kwa sababu za kisiasa, ikisema...