Mwakwere afokea Joho na Nassir kwa kumvumisha Achani kwa muhula wa pili Kwale
MSEMAJI wa jamii ya Wadigo, Bw Chirau Mwakwere, amewashutumu Waziri wa Madini na Uchumi wa Maji, Bw Hassan Joho na Gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir, kwa kumpigia debe Gavana wa...