Vita Sudan vyageuka wapiganaji wa RSF wakianza kujiunga na jeshi la serikali
KHARTOUM, Sudan: HATUA ya baadhi ya wapiganaji wa RSF kuhama na kujiunga na wanajeshi wa Sudan imezua ghadhabu na ukosefu wa uthabiti nchini humo. Baadhi ya raia wamekasirishwa n...