Agizo wahuni wa ‘Panga Boys’ Pwani wapigwe risasi na kuuawa papo hapo
MAAFISA wa polisi Lamu na Pwani wameamriwa kuwapiga risasi na kuwaua wahalifu wa magenge ya mapanga na visu, maarufu Panga Boys. Akizungumza wakati wa kikao cha baraza la usalama...