Wanablogu Murang’a wawindwa kwa madai ya kuchapisha taarifa za kukosoa serikali
MVUTANO umezuka Kaunti ya Murang’a, kati ya idara za usalama na wanablogu wanaotuhumiwa kuvuka mipaka ya uhuru wa kujieleza. Kamati ya Usalama na Ujasusi ya kaunti hiyo imethibiti...