Latest updates for Kamanda Wa Polisi Wa Bondo Peter Leparsare
Fresh curated links around Kamanda wa Polisi wa Bondo Peter Leparsare are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Polisi wadaiwa kuiba silaha
- Mwanafunzi wa darasa la saba auawa Songwe
- IPOA yamtuza mkuu wa kituo cha polisi kwa kupambana na uhalifu
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mwanafunzi wa darasa la saba auawa Songwe
Kamanda Senga amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu matukio hayo, sambamba na msako wa kuwabaini na kuwakamata wahusika ili wafikishwe mahakamani.
IPOA yamtuza mkuu wa kituo cha polisi kwa kupambana na uhalifu
ALIYEKUWA Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kabarnet, Kaunti ya Baringo, Shamza Abedi, alishtuka alipopokea taarifa kuwa maafisa wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA)...
Jeshi la Polisi lamshikilia Madeleka, sababu zatajwa
Soma hapa...
Walimu sita mbaroni wakituhumiwa kifo cha mwanafunzi
Polisi Mkoa wa Mara inawashikilia walimu sita wa Shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kufuatia kifo cha mwanafunzi wa kidato cha sita, Peter Marire (23), anayedaiwa kufari...
Polisi Tanga yaanzisha uchunguzi wa kutekwa kwa mwanahabari
Soma hapa...
Kisa cha afisa wa DCI kudungwa kisu chaibua hofu ya ujasiri wa wahalifu
ONGEZEKO la mashambulizi dhidi ya maafisa wa polisi katika Kaunti ya Lamu limezua wasiwasi kuhusu iwapo makundi ya wahalifu yanazidi kupata ujasiri licha ya juhudi za miaka mingi z...
Hivi ndiyo Lissu alivyomhoji ACP Mahamba
Soma zaidi hapa...
Mwanamume apigwa risasi Siaya wakazi wakipinga kiwanda cha nyuklia
MTU mmoja amelazwa hospitalini baada ya kupigwa risasi mguuni vurugu zilizozuka katika mkutano wa uhamasishaji kuhusu mradi wa kujenga kiwanda cha nyuklia cha thamani ya Sh1 trilio...
Afisa wa polisi aliyeuawa Homa Bay alikuwa akisubiri kupandishwa cheo
KONSTABO Jim Richardson Onkundi, aliyefariki baada ya kupigwa na jiwe wakati wa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay, alikuwa akisubiri kupandishwa cheo kuwa koplo. Onkundi, 36, al...
Ofisa wa Polisi amburuza IGP, AG kortini, apigania cheo, hadhi na stahiki zake
Soma zaidi...
Ajabu mwendesha mashtaka kesi ya shambulio dhidi ya Linda Mwananchi kukosa kufika kortini
WASHUKIWA saba waliokamatwa kutokana na shambulio la Ijumaa kwenye msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, Nyaribari Chache katika Kaunti ya Kisii walishindwa kujibu mashtaka Jumat...
Mapanga 500 na silaha zingine zilisambaziwa wahuni Homa Bay, polisi wafichua
TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500...
Kanja aonya makamanda wa polisi kuhusu uhuni
INSPEKTA Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja ametoa onyo kali kwa maafisa wa polisi na makamanda wao kwamba, watawajibishwa binafsi kwa uhalifu unaotokea katika maeneo yao iwapo uzem...
Sifuna: Tulinasa simu ya polisi mmoja aliyeshirikiana na wahuni, tutaitumia kama ushahidi
KINARA wa vuguvugu la kisiasa la Linda Mwananchi Edwin Sifuna amesema wanayo katika hifadhi yao chombo cha mawasiliano anachosema kilipatikana kwa mwanamume mmoja aliyenaswa na waf...
Mauaji ya watoto yaibua hofu, Polisi yataja sababu
Soma hapa...
Mahakama yampa kibali askari aliyefukuzwa kazi kupinga uamuzi wa IGP
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya mapitio ya kimahakama kupinga uamuzi wa Mk...
Dakika za mwisho za afisa polisi anayeshukiwa kujiangamiza kwa risasi kituoni
KIFO cha ghafla cha afisa wa polisi Marjori Bosibori kimewaacha wenzake na jamaa wakiwa na maswali mengi huku uchunguzi ukiendelea kubaini kilichotokea katika saa zake za mwisho....
Mbaroni kuwaua baba, baba mdogo na kuwazika mbele ya nyumba
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Hosamu Hamza, maarufu Maopena, kwa tuhuma za kuwaua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo.
Viongozi vijana wapanga msafara wa amani Gusii baada ya shambulio la Linda Mwananchi
SIKU chache tu baada ya mtu mmoja kuuawa wakati wa shambulio dhidi ya msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, viongozi vijana kutoka eneo la Gusii wametangaza msafara wa amani ili...
Jhanda sasa adai wakazi wa Keumbu walichokozwa na Linda Mwananchi
MBUNGE wa Nyaribari Chache, Zaheer Jhanda, amevunja kimya chake kuhusu uvamizi dhidi ya msafara wa viongozi wa Linda Mwananchi katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, zaidi ya wiki...
Katibu wa Bavicha akamatwa madai ya kuhamasisha maandamano
Kutokana na taarifa hizo kuzua maswali mengi, Mwananchi ilifanya ufuatiliaji kwa viongozi wa chama hicho na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ili kuthibitisha kilichotokea.
Polisi Dar yamshikilia ‘Maopena’ kwa tuhuma za kuwaua baba yake na baba mdogo
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia mkazi wa Mwananyamala, Hosamu Hamza maarufu 'Maopena', kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo.
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.