Latest updates for Kamanda Wa Polisi Wa Bondo Peter Leparsare

Fresh curated links around Kamanda wa Polisi wa Bondo Peter Leparsare are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Polisi wadaiwa kuiba silaha
  • Mwanafunzi wa darasa la saba auawa Songwe
  • IPOA yamtuza mkuu wa kituo cha polisi kwa kupambana na uhalifu

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Polisi wadaiwa kuiba silaha

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mwanafunzi wa darasa la saba auawa Songwe

Kamanda Senga amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu matukio hayo, sambamba na msako wa kuwabaini na kuwakamata wahusika ili wafikishwe mahakamani.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

IPOA yamtuza mkuu wa kituo cha polisi kwa kupambana na uhalifu

ALIYEKUWA Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kabarnet, Kaunti ya Baringo, Shamza Abedi, alishtuka alipopokea taarifa kuwa maafisa wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendakazi wa Polisi (IPOA)...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Jeshi la Polisi lamshikilia Madeleka, sababu zatajwa

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /3 days ago

Walimu sita mbaroni wakituhumiwa kifo cha mwanafunzi

Polisi Mkoa wa Mara inawashikilia walimu sita wa Shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kufuatia kifo cha mwanafunzi wa kidato cha sita, Peter Marire (23), anayedaiwa kufari...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Polisi Tanga yaanzisha uchunguzi wa kutekwa kwa mwanahabari

Soma hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Kisa cha afisa wa DCI kudungwa kisu chaibua hofu ya ujasiri wa wahalifu

ONGEZEKO la mashambulizi dhidi ya maafisa wa polisi katika Kaunti ya Lamu limezua wasiwasi kuhusu iwapo makundi ya wahalifu yanazidi kupata ujasiri licha ya juhudi za miaka mingi z...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Hivi ndiyo Lissu alivyomhoji ACP Mahamba

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

Mwanamume apigwa risasi Siaya wakazi wakipinga kiwanda cha nyuklia

MTU mmoja amelazwa hospitalini baada ya kupigwa risasi mguuni vurugu zilizozuka katika mkutano wa uhamasishaji kuhusu mradi wa kujenga kiwanda cha nyuklia cha thamani ya Sh1 trilio...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 days ago

Afisa wa polisi aliyeuawa Homa Bay alikuwa akisubiri kupandishwa cheo

KONSTABO Jim Richardson Onkundi, aliyefariki baada ya kupigwa na jiwe wakati wa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay, alikuwa akisubiri kupandishwa cheo kuwa koplo. Onkundi, 36, al...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Ofisa wa Polisi amburuza IGP, AG kortini, apigania cheo, hadhi na stahiki zake

Soma zaidi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ajabu mwendesha mashtaka kesi ya shambulio dhidi ya Linda Mwananchi kukosa kufika kortini

WASHUKIWA saba waliokamatwa kutokana na shambulio la Ijumaa kwenye msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, Nyaribari Chache katika Kaunti ya Kisii walishindwa kujibu mashtaka Jumat...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 days ago

Mapanga 500 na silaha zingine zilisambaziwa wahuni Homa Bay, polisi wafichua

TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Kanja aonya makamanda wa polisi kuhusu uhuni

INSPEKTA Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja ametoa onyo kali kwa maafisa wa polisi na makamanda wao kwamba, watawajibishwa binafsi kwa uhalifu unaotokea katika maeneo yao iwapo uzem...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Sifuna: Tulinasa simu ya polisi mmoja aliyeshirikiana na wahuni, tutaitumia kama ushahidi

KINARA wa vuguvugu la kisiasa la Linda Mwananchi Edwin Sifuna amesema wanayo katika hifadhi yao chombo cha mawasiliano anachosema kilipatikana kwa mwanamume mmoja aliyenaswa na waf...

Read source
mwananchi.co.tz /2 days ago

Mauaji ya watoto yaibua hofu, Polisi yataja sababu

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mahakama yampa kibali askari aliyefukuzwa kazi kupinga uamuzi wa IGP

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya mapitio ya kimahakama kupinga uamuzi wa Mk...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Dakika za mwisho za afisa polisi anayeshukiwa kujiangamiza kwa risasi kituoni

KIFO cha ghafla cha afisa wa polisi Marjori Bosibori kimewaacha wenzake na jamaa wakiwa na maswali mengi huku uchunguzi ukiendelea kubaini kilichotokea katika saa zake za mwisho....

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Jaji Warioba atoa kauli sakata la Lissu

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mbaroni kuwaua baba, baba mdogo na kuwazika mbele ya nyumba

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Hosamu Hamza, maarufu Maopena, kwa tuhuma za kuwaua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Viongozi vijana wapanga msafara wa amani Gusii baada ya shambulio la Linda Mwananchi

SIKU chache tu baada ya mtu mmoja kuuawa wakati wa shambulio dhidi ya msafara wa Linda Mwananchi huko Keumbu, viongozi vijana kutoka eneo la Gusii wametangaza msafara wa amani ili...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jhanda sasa adai wakazi wa Keumbu walichokozwa na Linda Mwananchi

MBUNGE wa Nyaribari Chache, Zaheer Jhanda, amevunja kimya chake kuhusu uvamizi dhidi ya msafara wa viongozi wa Linda Mwananchi katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, zaidi ya wiki...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Katibu wa Bavicha akamatwa madai ya kuhamasisha maandamano

Kutokana na taarifa hizo kuzua maswali mengi, Mwananchi ilifanya ufuatiliaji kwa viongozi wa chama hicho na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ili kuthibitisha kilichotokea.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Polisi Dar yamshikilia ‘Maopena’ kwa tuhuma za kuwaua baba yake na baba mdogo

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia mkazi wa Mwananyamala, Hosamu Hamza maarufu 'Maopena', kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo.

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Kamanda Wa Polisi Wa Bondo Peter Leparsare

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source