Makonda aibua mjadala wa malezi, alia na viongozi wa dini
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema jamii imeweka mkazo mkubwa katika taaluma, huku ikisahau malezi ya msingi ya kuwajenga watoto kuwa wazazi bora...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Jukumu La Malezi.
Fresh curated links around Jukumu la malezi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema jamii imeweka mkazo mkubwa katika taaluma, huku ikisahau malezi ya msingi ya kuwajenga watoto kuwa wazazi bora...
Ili kuwafanya watoto wajiamini, wawe wadadisi wa mambo pamoja na kuwaandalia mazingira bora ya ajira baadaye, wazazi na walezi wametakiwa kuwekeza katika ujuzi mbalimbali walionao...
Katika familia nyingi za Kiafrika, adhabu za kimwili zimekuwa sehemu ya malezi kwa watoto kwa muda mrefu.
Soma hapa...
Soma zaidi hapa...
LEO tutaangazia baadhi ya maswali likiwemo suala la malezi kwa kurejelea dondoo lifuatalo. “Wazazi waliasa, ‘Nguo ya kuomba haisitiri makalio.’ Alifunzwa kutotumia sifa za kike a...
Katika kipindi ambacho mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanaendelea kuibadilisha sura ya familia za mijini, nafasi ya mama nayo imebadilika kwa kasi kubwa.
Amesema Mama Sussana, licha ya kutokuwa katika familia ya kisiasa, alitimiza wajibu wake wa malezi na hivyo kusaidia taifa kupata kiongozi mahiri na mchapakazi.
Umewahi kujiuliza kwa nini watoto wengi wanalalamikiwa kwa kukosa ubunifu?
Soma zaidi hapa...
Makamu Mkuu wa Chuo cha Padre Pio, Dk Yasin Mussa akizungumza wakati wa semina iliyowakutanisha wamiliki wa makazi yanayojishughulisha na malezi ya watoto, wasaidizi wa kazi za nda...
Licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali pamoja na wadau wa maendeleo kulinda haki za watoto, bado baadhi yao katika jamii wanaendelea kuingia kwenye ajira hatarishi.
Katika dunia ya leo, simu janja, televisheni za kisasa, YouTube, TikTok na michezo ya mtandaoni vimekuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watoto wengi.
Wakati changamoto ya watoto kushindwa kupata chakula shuleni ikizidi kuathiri ujifunzaji, hali hiyo imetajwa kuchangiwa na mwamko duni wa wazazi.
Soma zaidi....
Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameiomba Serikali kuongeza juhudi za utoaji wa elimu ya lishe katika ngazi ya jamii, ili kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ambalo b...
UMEWAHI kukutana na mvulana mdogo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 10 akiomba ununue pipi au ndizi barabarani wakati wanafunzi wengine wako shuleni? Je, umewahi kujiuliza kwa n...
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo matano yanayolenga kuboresha sekta ya mama na baba lishe nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni mhimili muhimu wa uchumi wa kila siku na ust...
MOJAWAPO ya maswali yanayozua mjadala katika malezi ya watoto wachanga ni kuhusiana na wakati ambapo mtoto anapaswa kuanza kuvalia viatu. Kila mzazi haswa akina mama huvutiwa sana...
Familia zenye watoto wenye changamoto ya usonji zinaendelea kukabiliwa na unyanyapaa, huku tafiti zikionyesha familia nyingi hukimbilia kutafuta msaada kupitia maombi na tiba za ja...
JUMA hili tunaangazia taasubi za kiume kwa kurejelea dondoo lifuatalo: “Nyinyi mna maswali mengi. Si mngoje kwanza nimalize kusimulia halafu mniulize maswali?” (a) Eleza muktadha...
Tatizo la mimba za utotoni mkoani Simiyu limeendelea kuwa kikwazo kikubwa kwa elimu ya wasichana, huku wengi wao wakilazimika kuacha shule na kupoteza ndoto zao za maisha.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.