Maseneta washangaa jinsi jengo la Sh820m alilojenga Wanga linafaidi wakazi Homa Bay
MASENETA wameibua wasiwasi kuhusu matumizi ya fedha za umma katika mradi wa ujenzi wa makao makuu mapya ya Serikali ya Kaunti ya Homa Bay baada ya Gavana Gladys Wanga kushindwa kue...