Muhoozi kuwania urais 2031 akisema babake, Rais Museveni, atamuunga mkono
KAMPALA, Uganda: MKUU wa jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mwana wa Rais Yoweri Museveni, ametangaza kuwa atawania urais katika uchaguzi wa mwaka 2031....