Wahuni wavamia shule Chemelil, wajeruhi wafanyakazi na walimu na kutoroka
KILICHOPASWA kuwa siku ya kawaida ya wanafunzi kurejea shuleni baada ya mapumziko ya katikati ya muhula kiligeuka kuwa mkasa wa kutisha Alhamisi katika Shule ya Chemelil Sugar Acad...