TMA yasisitiza maandalizi kukabiliana na El Nino
Soma hapa...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Janga La Mazingira.
Fresh curated links around Janga la mazingira are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma hapa...
Harufu mbaya, mifuko na chupa za plastiki za vinywaji zinazozagaa katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Maswa mkoani Simiyu, zimekuwa kero kwa wakazi na wafanyabiashara, huku baadhi w...
Wakazi wa Mitaa ya Pingoni na Thaluji jijini Tanga, wamedai kuwa wapo hatarini kupata changamoto za kiafya, zinazotokana na uvutaji wa moshi na vumbi linalotoka katika kiwanda cha...
Bunge limepitisha Azimio la kuridhia Mkataba wa uanzishaji wa Taasisi ya Ukuzaji wa Maendeleo ya Kijani ambao umetaja faida nane.
Jukwaa maalumu la wadau wa eneo la bahari ya Kaskazini-Mashariki mwa Kisiwa cha Unguja, limezinduliwa kwa lengo la kuratibu na kusimamia uendelezaji wa shughuli endelevu za bahari,...
Mradi huo unatekelezwa kwa ufadhili wa Foundation OCP, taasisi ya Morocco iliyojikita katika kuendeleza maendeleo endelevu ya binadamu nchini humo na katika nchi nyingine za Ukanda...
Soma hapa...
Soma hapa...
Wakati matumizi ya kuni na mkaa yakiendelea kuwa juu katika maeneo ya vijijini, Shule ya Sekondari Kalangalala mkoani Geita imepokea kilo 1,500 za mkaa mbadala hatua inayolenga kup...
SERIKALI inaendelea kusukuma mpango wake wa kupanda miti bilioni 15 ifikapo 2032 kama sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kurejesha mazingira yaliyoharibi...
Tanga.Wilaya ya Tanga imeanza kuchukua hatua za tahadhari kwa kutembelea na kutambua maeneo yote hatarishi yanayoweza kuathiriwa na mvua za El Niño, ikiwa ni sehemu ya maandalizi y...
Serikali za Afrika Mashariki zimehimizwa kuwekeza mapema katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi badala ya kusubiri mafuriko na ukame kutokea ndipo zianze kutoa fed...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya-UWSA), imeonya watu wanaojihusisha na wizi wa mifuniko ya chemba za mifumo ya majitaka huku ikitaja mikakati ya kushirikisha...
Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro imesimamisha kwa muda ujenzi unaoendelea katika eneo la wazi la Uhuru Park, Manispaa ya Moshi, baada ya kubaini kuwa taratibu za kuomba kibali kutok...
Mwongozo huo unalenga kuunganisha mifumo ya usimamizi wa mazingira, kazi, hifadhi ya jamii, kilimo na misitu ili kuweka utaratibu mmoja utakaorahisisha utekelezaji wa matakwa ya ki...
Serikali ya Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe imetoa onyo kali kwa wananchi wanaoendelea kukaidi agizo la kutovuka mpaka unaozuia kuingia ndani ya hifadhi ya Pori la Akiba la Mp...
Kongamano hilo, lenye kaulimbiu ‘Hifadhi bahari, changamkia fursa za uchumi wa buluu’, limewashirikisha wadau mbalimbali kujadili changamoto na fursa zilizopo, ikiwa ni sehemu ya T...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza hatua zilizoanza kuchukua kukabiliana na mvua za El Nino, huku ikiwataka wananchi wanaoishi maeneo hatarishi kuanza taratibu za kuh...
Soma zaidi hapa...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.