Mahakama yaanza kusikiliza kesi ya Tume ya Jaji Lila
Rais Samia ameunda tume kufuatia ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoongozwa na Jaji Mkuu ms...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Jaji Mkuu Mstaafu Wa Tanzania Mohamed Chande Othman.
Fresh curated links around Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mohamed Chande Othman are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Rais Samia ameunda tume kufuatia ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, iliyoongozwa na Jaji Mkuu ms...
Shughuli hiyo ya wanajumuiya wa UDSM iliongozwa na Mkuu wa Chuo hicho na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, Spika Mstaafu Dk Tulia Ackson na viongozi wengine wa Serikali.
Katika utekelezaji wa pendekezo la tume, Mei 18, 2026, Rais Samia aliunda Tume hiyo huku akimteua Jaji Shaban Lila kuwa Kamishna na Mwenyekiti wake.
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Kigoma imeitaka Serikali na makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Kijinai katika Matukio ya Ghasia za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mku...
Soma zaidi hapa...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya mapitio ya kimahakama kupinga uamuzi wa Mk...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesisitiza kuwa mafanikio ya mfumo wa utoaji haki haupaswi kutegemea teknolojia pekee, bali unahitaji misingi imara ya uadilifu, uwajibikaji na...
Soma hapa...
Dk Jingu anachukua nafasi ya Profesa Elisante Gabriel ambaye amestaafu utumishi wa umma.
Aliyekuwa Mkuu wa Gereza la Ukonga, Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Josephat Mkama ameieleza Mahakama hakuna ushahidi uliyowasilishwa mahakamani kuonyesha alighushi barua...
Siku tatu baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo kusaini makubaliano ya kuanza mchakato wa kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Othm...
Mahakama ya Zanzibar imeendelea kuboresha utoaji wa huduma zake kupitia matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa lengo la kuongeza uwazi, ufanisi na upatikanaji...
Mahakama hiyo imemtia hatiani Mollel katika kesi iliyokuwa ikiendeshwa na mwendesha mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Faustin Mushi.
Mlay alikuwa akikabiliwa na Shauri la Jinai Na. 000011512/2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha.
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amemuapisha Mansura Mossi Kassim kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).
Soma hapa...
Dk Mwigulu amesema Serikali imebaini kuwepo kwa watu wanaoendesha shughuli za makusudi za kuchochea taharuki katika jamii, huku akiwataka wananchi kuwa makini na taarifa wanazopoke...
Soma zaidi...
Mahakama ya Zanzibar inaendelea kuboresha utoaji wa huduma zake kupitia matumizi ya Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa lengo la kuongeza uwazi, ufanisi na upatikanaj...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.