Latest updates for Iebc Yalilia Bajeti Ya Sh74.8 Bilioni

Fresh curated links around IEBC yalilia bajeti ya Sh74.8 bilioni are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • IEBC yasema imepungukiwa na Sh33 bilioni kwa uchaguzi wa 2027
  • Katiba waomba Sh775 bilioni vipaumbele 14, ikiwemo elimu ya Katiba
  • Kenya: MPs Question Electoral Body Over Huge Hike in Proposed 2027 Election Budget

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

IEBC yasema imepungukiwa na Sh33 bilioni kwa uchaguzi wa 2027

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imesema inakabiliwa na upungufu wa Sh33 bilioni katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2027 baada ya kuongeza makadirio ya bajeti yake kwa Sh1...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Katiba waomba Sh775 bilioni vipaumbele 14, ikiwemo elimu ya Katiba

Jumla ya Sh775 bilioni zimeombwa na Wizara ya Katiba katika mwaka wa fedha 2026/27, huku vipaumbele 14 vitakavyotekelezwa kwa wakati huo, ikiwemo kufungua kesi tano za uvunjwaji wa...

Read source
allafrica.com /2 weeks ago

Kenya: MPs Question Electoral Body Over Huge Hike in Proposed 2027 Election Budget

[Capital FM] Nairobi -- A proposed increase of more than Sh13 billion in the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) budget has put the electoral agency on the spot,...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Wizara yaomba Sh20 bilioni za polisi kujiandaa kwa uchaguzi

WIZARA ya Usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa imeanzisha mpango wa Sh20 bilioni wa kupanua Kituo cha Kitaifa cha Ulinzi na Udhibiti wa Usalama (IC4), pamoja na mageuzi mengine y...

Read source
allafrica.com /1 month ago

Kenya: IEBC Secures Sh2.9bn in Supplementary Budget to Pay Pending Bills

[Capital FM] Nairobi -- The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has secured a Sh2.9 billion allocation to clear pending bills under the Supplementary Budget sign...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Ulinzi na NIS zamegewa Sh310 bilioni, matumizi makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa

WIZARA ya Ulinzi na Huduma ya Kitaifa kuhusu Ujasusi (NIS) zitapokea jumla ya Sh310 bilioni kwenye bajeti ya 2026, kiasi ambacho ni cha pili kikubwa zaidi baada ya Tume ya Huduma k...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Maelekezo 11 ya Dk Mwigulu akiwasilisha bajeti ya Sh12.5 trilioni

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

IEBC yapendekeza mabadiliko kadhaa ya kisheria uchaguzi wa 2027 ukikaribia

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini (IEBC) sasa inapendekeza mabadiliko chungu nzima ya kisheria ambazo wanataka yapitishwe kabla ya Septemba kuimarisha maandalizi na uwazi kati...

Read source
mwananchi.co.tz /4 days ago

Mambo ya Nje waanika vipaumbele wakiomba Sh359 bilioni

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

TUKO KADI: IEBC yasajili wapiga kura wapya 1.87 milioni zoezi likielekea kukamilika

TUMEHuru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) imefikia takriban asilimia 75 ya lengo lake la kusajili wapigakura wapya, ikiwa imesajili watu milioni 1.87 kufikia sasa huku zoezi hil...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Sh405 bilioni kutekeleza vipaumbele sita Wizara ya Afya

Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...

Read source
mwananchi.co.tz /2 days ago

Wizara yaja na mkakati kuongeza uzalishaji umeme, maji

Wizara ya Maji, Nishati na Madini imepanga kutekeleza bajeti yake ya Sh475.39 bilioni kwa kuzingatia vipaumbele vinane vikiwamo kuimarisha mtandao wa maji, uzalishaji wa umeme na k...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

IEBC, wabunge watetea kituo cha kujumlisha kura za urais kinachopingwa na wanaharakati

JUHUDI za kufuta kituo cha kitaifa cha kujumlishia kura kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027 zimepata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), hali in...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wizara ya Elimu Zanzibar yatengewa Sh1.1 trilioni kutekeleza vipaumbele sita

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA), kwa mwaka wa fedha 2026/27, inahitaji Sh1.1 trilioni katika kutekeleza mpango wa maendeleo wa sekta ya elimu, huku ikija na vip...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Ni wiki ya madaraja na malipo kwa makandarasi

Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

SMZ kutumia Sh1 trilioni kuimarisha huduma za afya mwaka 2026/30

Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mali za Sh125 bilioni ziliharibiwa vurugu za Oktoba 29

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman, amesema uchunguzi wao umebaini mali zilizoharibiwa za sekta binafsi na za umma zin...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kuchangamkiwa ghafla kwa zoezi la usajili kutabadili ramani ya upigaji kura – Wachanganuzi

ONGEZEKO la ghafla la Wakenya waliojitokeza siku ya mwisho ya zoezi la usajili wa wapiga kura limefanya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ikaribie kufikia lengo lake la kusaji...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /6 days ago

GenZ: Wabunge watetea raia kuhusu bajeti kubwa

HUKU wabunge wakirejelea vikao vya bunge kesho baada ya mapumziko ya mwezi mmoja, viongozi hao wa kisiasa wameonya kuwa bajeti kubwa ya Sh4.8 trilioni itakuwa mzigo mkubwa kwa raia...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Wawakilishi waikalia kooni Wizara ya Kilimo, wakiitaka kutumia teknolojia

Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27 kutekeleza miradi 10 ya maendeleo, wajumbe wa Baraza la W...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

IEBC: Vijana wamejisajili kwa fujo kushiriki kura, hatujaona ufanisi kama huu awali

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imesajili zaidi ya wapigakura milioni 2.6 baada ya kufungwa kwa shughuli ya uandikishaji Jumanne, hatua kubwa katika maandalizi ya Uchaguzi M...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Millya ataja sababu kukwamishwa bajeti 2025/26 mambo ya nje

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja mojawapo ya changamoto zilizokwamisha bajeti ya 2025/26 isiweze kutekelezwa ni kuwepo kwa baadhi ya nchi katika Ju...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wabunge wataka Sh200 bilioni ziende Wizara ya Vijana

Wabunge wametaka njia rahisi ya upataji mikopo kwa vijana ikiwemo unafuu wa masharti, dhamana, usimamizi, kutokuundwa kwa vikundi pamoja na utolewaji wa elimu.

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Ufinyu wa bajeti unavyoitesa ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

Wakati Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (OMKR) ikianisha vipaumbele vitano vya kutekeleza mwaka 2026/27 na kuomba kuidhinishiwa Sh35.558 bilioni, ufinyu na upatikanaji wa fedha us...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Iebc Yalilia Bajeti Ya Sh74.8 Bilioni

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source