TUKO KADI: IEBC yasajili wapiga kura wapya 1.87 milioni zoezi likielekea kukamilika
TUMEHuru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) imefikia takriban asilimia 75 ya lengo lake la kusajili wapigakura wapya, ikiwa imesajili watu milioni 1.87 kufikia sasa huku zoezi hil...