Hofu yaibuka Bungeni kwamba sukari hatari ya Sh1.5 bilioni ishaanza kuuzwa nchini
KUHAMISHWA kwa magunia 26, 220 ya sukari inayoshukiwa kuwa hatari kutoka bohari ya Mombasa kwenda Nairobi kupitia Reli ya Kisasa (SGR) kumeibua hofu bungeni, huku wabunge wakieleza...