Serikali za kaunti zashindwa kukusanya ushuru wa Sh143 bilioni
SERIKALI za kaunti zinadai malimbikizi ya jumla ya Sh143 bilioni katika mapato ambayo hazijalipwa, hali inayofichua mapengo makubwa katika mifumo ya ukusanyaji ushuru huku zikikabi...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Hazina Maalum Za Kaunti.
Fresh curated links around Hazina Maalum za Kaunti are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
SERIKALI za kaunti zinadai malimbikizi ya jumla ya Sh143 bilioni katika mapato ambayo hazijalipwa, hali inayofichua mapengo makubwa katika mifumo ya ukusanyaji ushuru huku zikikabi...
Mashauri matano ya uhujumu uchumi yamefunguliwa dhidi yao.
Tanzania inatarajia kukuza zaidi uchumi wake baada ya kugundulika kwa utajiri wa madini maarufu kama Rare Earth Elements (REEs) katika kijiji cha Mkiu, Wilaya ya Ludewa mkoani Njom...
Soma zaidi hapa...
HUDMA ya Kitaifa ya Polisi (NPS) inakabiliwa na hatari kubwa ya kupoteza hadi vituo 44 vya polisi jijini Nairobi kutokana na ukosefu wa hati miliki za ardhi, hali inayozua wasiwasi...
Jamii imekumbushwa umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti ya kulinda utajiri sambamba na juhudi za kuujenga, ili kuhakikisha usalama wa kifedha wa muda mrefu.
Wakala wa Ulinzi wa JKU na Mamlaka za Serikali za Mitaa Sh405.196 bilioni kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imeweka kipaumbele katika kuimarisha na kuhifadhi maeneo ya kihistoria kwa kuzingatia umuhimu wake katika uchumi na uhifadhi wa utamaduni...
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amefichua ukiukwaji mkubwa wa taratibu katika usimamizi wa mapato ya umma, baada ya uchunguzi wa ukaguzi kuba...
MAGAVANA sasa wana hadi Juni 1, 2026 kuwasilisha mpango kamili mbele ya Seneti unaoonyesha hatua wanazochukua kukabiliana na upungufu wa wafanyakazi katika hospitali za kaunti. Ma...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetaja vipaumbele vinane katika utekelezaji wa bajeti ya Sh210.3 bilioni huku utatuzi wa migogoro ukitajwa kila eneo.
Soma hapa...
KAUNTI za Kisii, Nairobi na Kakamega ndizo zinaongoza orodha ya kaunti ambako kiwango cha juu cha pombe haramu kimenaswa. Hii ni kulingana na uchambuzi maalumu uliofanywa na Tai...
Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imekuja na vipaumbele 11 ikilenga kuimarisha vivutio vya utalii, kuvihifadhi na kuyaendeleza maeneo ya kihistoria Unguja na Pemba.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Sh135.676 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27, huku ikiainisha mikakati ya kudhibiti mfumko wa bei na kui...
Serikali imeanza kuandaa sheria maalumu itakayoruhusu matumizi ya mali zinazohamishika, ikiwemo vyeti vya taaluma kama dhamana ya kupata mikopo kwa lengo la kuwasaidia wahitimu wa...
Azimio hilo limetolewa Aprili 24, 2026 wakati wa kikao cha baraza hilo, ambapo madiwani walisisitiza umuhimu wa kulinda wananchi dhidi ya mikopo yenye masharti magumu yasiyozingati...
Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, wamemtaka mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Mariam Mwanzalima kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu matumizi ya Sh107 milioni...
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetoa gawio la Sh8.38 bilioni kwa Serikali, huku faida, mizania na kiwango cha mikopo vikiongezeka.
Zaidi ya viwanja 300 vilivyotolewa na Serikali kwa wananchi wa Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja, vinatarajiwa kurejeshwa serikalini ili kutafutiwa matumizi mengine baada ya...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.