Hatari kuruhusu mtu atumiwe fedha kupitia akaunti yako
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewaonya wananchi dhidi ya kuruhusu akaunti zao za benki au huduma nyingine za kifedha kutumika kupokea au kuhamisha fedha zisizojulikana chanzo chake.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Hazina Kuu Ya Fedha.
Fresh curated links around Hazina Kuu ya Fedha are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewaonya wananchi dhidi ya kuruhusu akaunti zao za benki au huduma nyingine za kifedha kutumika kupokea au kuhamisha fedha zisizojulikana chanzo chake.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezindua jukwaa la kidijitali la kulinganisha bei litakalowawezesha wananchi kulinganisha ada, tozo na viwango vya riba vinavyotolewa na taasisi mbalim...
Dar es Salaam. Tanzania imepiga hatua katika kuimarisha mifumo ya kukabiliana na utakatishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi na ufadhili wa silaha za maangamizi. Mafanikio haya...
Mauzo ya bidhaa na huduma za Tanzania nje ya nchi yameongezeka kwa asilimia 17.2, yakichochewa zaidi na dhahabu, bidhaa za viwandani, tumbaku, korosho na kahawa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema elimu ya fedha kwa wananchi inasaidia kujenga jamii yenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya kifedha na kuchoche...
BENKI ya KCB imepiga ripoti kwa DCI ikitaka ichunguze kampuni ya Foxcapital inayodai ilituma Sh146 bilioni kwenye akaunti yake kutoka ng’ambo kuhusiana na uwekezaji wa dhamana za s...
Soma hapa...
Soma zaidi hapa...
Serikali imesema mtaji wa ndani ni muhimu katika kufanikisha azma ya Tanzania kuwa na uchumi wenye thamani ya Dola za Marekani 1 trilioni ifikapo mwaka 2050.
Ofisi ya Msajili wa Hazina imepokea gawio la Sh3.6 bilioni kutoka Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC), ikiwa ni sehemu ya mchango wa shirika hilo katika kuongeza mapato ya Serikali n...
Soma hapa...
Tanzania imefanikiwa kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa iliyotolewa kwa Shilingi ya Tanzania na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) katika Soko la Hisa la London (...
Muswada huo, pamoja na mambo mengine, unalenga kuongeza sekta ya ukopaji wa fedha kutoka asilimia 22 hadi 50 ifikapo mwaka 2030.
Soma hapa...
Wanawake wafanyabiashara katika Soko la Mwanakwerekwe sasa wameondolewa hofu ya kushindwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali kutokana na jukumu la kulea watoto...
WIZARA ya Fedha ilitengea mashirika ya usalama jumla ya Sh44.6 bilioni mwezi Julai, hatua inayodhihirisha ufadhili mkubwa wa sekta hiyo katika mwaka wa mwisho wa serikali kabla ya...
MWANASHERIA mkuu na Waziri wa Fedha, John Mbadi wameitaka Mahakama Kuu kusimamisha kusikizwa kwa kesi muhimu inayohusu uhalali wa deni la umma la Sh7 trilioni inayosubiri rufaa....
Soma zaidi...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeanza kujenga nyumba za kisasa za makazi ya watumishi wake kwa mara ya kwanza nchini, huku nyumba sita zenye thamani ya Sh750...
Tanzania's Ministry of Minerals reported that the country produced 67.8 tonnes of gold worth TZS 18.4 trillion in the 2025/26 financial year, with 28,701 kilograms sold through fiv...
Serikali iliahidi ujenzi wa barabara ya njia ya nne kutoka Nsalaga hadi Ifisi yenye kilomita 32 ikigharimu Sh138 bilioni ambapo ilipaswa kukamilika Aprili 2025 na kwa sasa umesimam...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.